Ukweli1
JF-Expert Member
- Nov 19, 2013
- 550
- 333
Barry it is exactly 12 days since you left, I told myself it is not true I am dreaming. I have been holding my tears but today I have failed. I am crying and I am going through your messages and the conversations we had. I can't seem to understand why now? Why Barry? And your kids? And your mum? your twin? and your brother? God forgive me because I don't understand your ways but I believe your words. Nimekukumbuka sana ucheshi wako, upendo wako kwa watoto wako, kujali kwako ndugu na watu kwa ujumla.
Ugomvi wetu siku zote Barry pumzika na ulikuwa unajibu niko mwenyewe nafanya kazi za baba na mama. Sasa Barry umepumzika moja kwa moja pembeni ya mkeo. Naumia na hawa watoto nikiangalia picha zao, eehe Mungu nakuomba umpe nguvu Mama na wote wanaohusika katika hili. Uwajalie Kifedha kusomesha na kulea hawa watoto zaidi ya yote wafariji Mungu. Barry nalia mwenyewe hapa kazi hazifanyiki nitakukumbuka ucheshi wako, ukipiga simu ni mpaka izime for low battery ndio maongezi yanaisha. Mungu nakuomba unifundishe kuhesabu siku zangu.
"Sometimes you will never know the true value of a moment until it becomes a memory"
Ugomvi wetu siku zote Barry pumzika na ulikuwa unajibu niko mwenyewe nafanya kazi za baba na mama. Sasa Barry umepumzika moja kwa moja pembeni ya mkeo. Naumia na hawa watoto nikiangalia picha zao, eehe Mungu nakuomba umpe nguvu Mama na wote wanaohusika katika hili. Uwajalie Kifedha kusomesha na kulea hawa watoto zaidi ya yote wafariji Mungu. Barry nalia mwenyewe hapa kazi hazifanyiki nitakukumbuka ucheshi wako, ukipiga simu ni mpaka izime for low battery ndio maongezi yanaisha. Mungu nakuomba unifundishe kuhesabu siku zangu.
"Sometimes you will never know the true value of a moment until it becomes a memory"
In loving memory of my friend Barry Daimon Mwaga.