Buriani Barry Mwaga

Buriani Barry Mwaga

TANMO;
Ni Barry Daimon Mwaga..

Poleni wafiwa.


Mkuu TANMO huyu Barry baba yake ndiye Profesa Mwaga alikuwa DVCA ST JOHN'S UNIVERSITY KABLA YA KIFO CHAKE?

cc
Ukweli1
 
Last edited by a moderator:
R.i.p barry... Ni mtoto wa marehemu prof daimon mwaga!
 
RIP barry, Profesa Mwaga alikuwa Lecturer wangu wa DS kabla ya Umauti kumkuta!

Thanks vengu for info,
 
Last edited by a moderator:
Barry it is exactly 12 days since you left, I told myself it is not true I am dreaming. I have been holding my tears but today I have failed. I am crying and I am going through your messages and the conversations we had. I can’t seem to understand why now? Why Barry? And your kids? And your mum? your twin? and your brother? God forgive me because I don’t understand your ways but I believe your words. Nimekukumbuka sana ucheshi wako, upendo wako kwa watoto wako, kujali kwako ndugu na watu kwa ujumla.

Ugomvi wetu siku zote Barry pumzika na ulikuwa unajibu niko mwenyewe nafanya kazi za baba na mama. Sasa Barry umepumzika moja kwa moja pembeni ya mkeo. Naumia na hawa watoto nikiangalia picha zao, eehe Mungu nakuomba umpe nguvu Mama na wote wanaohusika katika hili. Uwajalie Kifedha kusomesha na kulea hawa watoto zaidi ya yote wafariji Mungu. Barry nalia mwenyewe hapa kazi hazifanyiki nitakukumbuka ucheshi wako, ukipiga simu ni mpaka izime for low battery ndio maongezi yanaisha. Mungu nakuomba unifundishe kuhesabu siku zangu.


“Sometimes you will never know the true value of a moment until it becomes a memory”

In loving memory of my friend Barry Daimon Mwaga.
Nilisoma na Alice Ruoja shule ya Sekondary kule Morogoro. Alinitangulia darasa moja . Alipokua form six mimi nilikua form five. She was such a nice lady. May her husband's soul and hers rest in perfect peace. Mungu atainua watu wa kuwalea watoto wao
 
Mungu amlaze yeye na mke wake mahali pema peponi na awatie nguvu watoto na ndugu wa marehemu, huu ni mfano ambao sisi tuliobaki twatakiwa kujifunza kuwa ni muda wowote nyota zetu zaweza kuzima ghafla bila hata kutegemea!!
 
inasikitisha sana. Poleni watoto mliopoteza wazazi. RIP Barry
 
Barry it is exactly 12 days since you left, I told myself it is not true I am dreaming. I have been holding my tears but today I have failed. I am crying and I am going through your messages and the conversations we had. I can’t seem to understand why now? Why Barry? And your kids? And your mum? your twin? and your brother? God forgive me because I don’t understand your ways but I believe your words. Nimekukumbuka sana ucheshi wako, upendo wako kwa watoto wako, kujali kwako ndugu na watu kwa ujumla.

Ugomvi wetu siku zote Barry pumzika na ulikuwa unajibu niko mwenyewe nafanya kazi za baba na mama. Sasa Barry umepumzika moja kwa moja pembeni ya mkeo. Naumia na hawa watoto nikiangalia picha zao, eehe Mungu nakuomba umpe nguvu Mama na wote wanaohusika katika hili. Uwajalie Kifedha kusomesha na kulea hawa watoto zaidi ya yote wafariji Mungu. Barry nalia mwenyewe hapa kazi hazifanyiki nitakukumbuka ucheshi wako, ukipiga simu ni mpaka izime for low battery ndio maongezi yanaisha. Mungu nakuomba unifundishe kuhesabu siku zangu.


“Sometimes you will never know the true value of a moment until it becomes a memory”

In loving memory of my friend Barry Daimon Mwaga.

Pole sana wht happened? rip brthr!
 
Pole mpendwa. Naweza kupata hisia za kile unachokipitia. Kifo kinaumaaa hasa ukifiwa na MTU wako wa karibu unaempenda Sana na kumjali. Ila kumbuka tu ndio njia yetu sote.
 
Mtoa mada na wengine sie;

Unapoleta mada kama hii dont assume kila mtu anamfahamu unayemuongelea otherwise ungepost kwenye facebook wall yake. Give intensive information for the benefit of the forum. binafsi namfahamu na hujamtendea wema Barry kwa such shallow and low info ;kama unamkumbuka basi weka wasifu yakinifu .

Sasa mkuu kama unamfahamu na wadau wanauliza wasifu wake na wewe unaponda kuwa hajamtendea haki for such shallow and low info si ulieleze jukwaa? pengine mwenzetu majonzi aliyonayo anawhindwa kuandika zaidi.
MUNGU AWAFUTE MACHOZI WAFIWA
 
Back
Top Bottom