Huyo marehemu ni nani haswa?
Alikua ni UDSM alumni na mfanyakazi wa NSSF Shinyanga na mkewe alikua marehemu Alice Ruoja aliyefariki kwa ajali ya bodaboda a year ago,kwa wakazi wa Tabora watakua wanamfahamu Alice au mama yake Mrs Ruoja alishakua headmistress shule nyingi tu
Mtoa mada na wengine sie;
Unapoleta mada kama hii dont assume kila mtu anamfahamu unayemuongelea otherwise ungepost kwenye facebook wall yake. Give intensive information for the benefit of the forum. binafsi namfahamu na hujamtendea wema Barry kwa such shallow and low info ;kama unamkumbuka basi weka wasifu yakinifu .
Nyani Ngabu There are no irrelevant questions only irrelevant answersUnaweza ambiwa hilo swali ni irrelevant eti......
Hakika hakuna ajuaje saa wala muda, asante nyumba kubwaSimfajamu marehemu; ila thru my facebook connection nilijikuta naumia kuhusu kifo chake...maana rafiki yangu ali comment kuhusu kifo chake na mimi moja kwa moja nikaona facebook account yake...ambayo ilikuwa active siku chache tu kabla ya kifo chake...
Kwa mara ya kwanza nilisikitika kwa kifo cha mtu nisiyemfahamu...siku nzima nilikosa raha, hasa nikiangalia picha zake na watoto wake...
Maisha na kifo ni siri nzito sana, tusichukulie uhai tunaopewa for granted...
Huwa wakati mwingine najiuliza...hivi navyoangaika najua ni lini nitakufa...what about my kids...
Kwa kweli hakuna ajuae future yake...
RIP
asante sana asakuta sameElezeeni vitu vizuri, wote tufahamu.
Poleni sana wote mlioguswa na msiba huu.
R.I.P Barry
Nyani Ngabu There are no irrelevant questions only irrelevant answers
asante sana charmingladyPole sana mtoa mada, kwa majonzi matizo ya kumpoteza mpendwa wako!
Jamani Huyo Mrs. Luoja ni kama amefariki mwaka huu April?Alikua ni UDSM alumni na mfanyakazi wa NSSF Shinyanga na mkewe alikua marehemu Alice Ruoja aliyefariki kwa ajali ya bodaboda a year ago,kwa wakazi wa Tabora watakua wanamfahamu Alice au mama yake Mrs Ruoja alishakua headmistress shule nyingi tu