Zainab Tamim
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,293
- 583
- Thread starter
- #41
Mimi nafikiri ni sahihi kusema Tanesco Mikocheni, ndio watu walivyozoea kupaita. Kituo kinaitwa Chama, unapanda mabasi ya kawe. Muhimu utuambie mtu akishuka hapo anaelekea upande gani na hosp inaitwaje. Maana unatuacha tu hewani tukishika hapo hatujui tuelekee wapi.
Asante kwa hilo.
Kituo chetu cha afya kinaitwa Eternal International Biotechnology (Tanzania Branch).
Ukifika TANESCO, unafata njia inayoingia ndani kuelekea Msasani, hapo pembeni ya TANESCO ile ya zege ukifika mwisho wa zege kwenye kona ya kwanza mkono wa kushoto, ndiyo hapo hapo nyumba ya kona, utaona bendera bendera za ufunguzi getini.
Karibu sana. Kabla hujaenda ni PM nikupe namba ya appointment.
Asante