Wadau nipo kituoni hapa, nimepokelewa vzr na dada Rahma ni mtu mcheshi sana, kwa hakika nategemea huduma nzuri kutoka hapa.
Nimefika pale mida ya saa 4 asbh, nikaambiwa kukaa kwenye kochi la massage ni lazima ununue soksi mpya hapohapo, bei ya soksi ni Tsh 2000. Nikawaambia mi sihitaji hiyo kitu...Tunasubiri feedback Kaka mkubwa
...vipimo vya mwili mzima vinavyotumia kopyuta. Ilichukua dakika chache nikapata majibu nikaenda kwa daktari, daktari akanieleza maradhi yangu kisha akaniandikia dawa. Nikarudi dirishani kujua itanigharimu Tsh ngapi, ila dah! mibei kaka!!!
kwenye matibabu na dawa ndio janja yao...
kwenye matibabu na dawa ndio janja yao...
Tofauti yenu na GNLD au naturaltherapists ni ipi?Fursa ya kupima bure inaendelea, kesho Alhamisi na Jumamosi ni siku za kupima. Wahi ujuwe afya yako.
Tuma pm nikupe namba ya appointment.
Tofauti yenu na GNLD au naturaltherapists ni ipi?
mnapima kwa CT SCAN?
Nimefika pale mida ya saa 4 asbh, nikaambiwa kukaa kwenye kochi la massage ni lazima ununue soksi mpya hapohapo, bei ya soksi ni Tsh 2000. Nikawaambia mi sihitaji hiyo kitu...
Nimefika pale mida ya saa 4 asbh, nikaambiwa kukaa kwenye kochi la massage ni lazima ununue soksi mpya hapohapo, bei ya soksi ni Tsh 2000. Nikawaambia mi sihitaji hiyo kitu...
Ishu ya kuvaa soksi siolazma ununue ukienda na zakwako wala huulizwi pia ninzuri kiafya bwashee kwanamna inavyofanya kazi wengine wanasweat miguu..mimi binafsi nimelalia hlo sofa ni zuri kwakweli na vipimo pia viko vizuri,.
Kwakweli ile checkup mi nilikua naonaga kwenye movie tuu😛(the Nuty professor) nimeinjoy na ninejua nasumbuliwa nanini,nimependa huduma inatolewa kwa kuzingatia foleni bila upendeleo naomba waendelee hivyo,.mwisho niwapongeze watoa huduma woooote kwa ukarimu wao
hasa Salma na yule dada mnene wa hijaab bila kumsahau mkarimani wetu na Happy..
Huyo atakuwa ni Rahima.
Asante sana na karibu tena.
offer bado inaendelea?
nataka kuja wiki endi.
Offer inaendelea ni vizuri ukija baada ya Eid, kuanzia Jumatatu ya mwanzo baada ya Eid nijulishe nitakupa namba ya appointment.
nipe namba ya appointment