Bure: Fursa ya mwaka, pima afya yako

Bure: Fursa ya mwaka, pima afya yako

Will be there count me in, nnakuja na watu watatu please tuwekee wote nafasi. Mie nnautaka huo msofa wa masaji Amsterdam Airport niliulipia Euro 3 ukaninogea niaongeza tena mara ya pili.

Punguani mumeo Mzee Abduli.

Mi nilifikiri utasema Saudi Arabia, kumbe kwa makafiri Amsterdam! (Punguani wahed) ha ha haaaaaa
 
Ofa ya kupima bure inaendelea kesho kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa nane mchana, Jumaane saa 4 mpaka saa 11 jioni na Alhamisi saa 4 mpaka saa 11.

Wahi kuchukuwa namba yako ya appointment kwa PM au ptuma sms 0756803528.

- Kupima Bure
- Report Bure
- Ushauri nasaha Bure
- Massage Sofa - Bure, wakati unasubiri kupimwa au baada ya kupimwa unajipatia massage ya bure. Haufanyiwi na mtu, linakufanyia sofa special la massage.
 
Ofa ya kupima bure inaendelea kesho kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa nane mchana, Jumaane saa 4 mpaka saa 11 jioni na Alhamisi saa 4 mpaka saa 11.

Wahi kuchukuwa namba yako ya appointment kwa PM au ptuma sms 0756803528.

- Kupima Bure
- Report Bure
- Ushauri nasaha Bure
- Massage Sofa - Bure, wakati unasubiri kupimwa au baada ya kupimwa unajipatia massage ya bure. Haufanyiwi na mtu, linakufanyia sofa special la massage.

Nilipiga cm sana hao mawakala wako hawaeleweki
 
Wahi kupima afya yako bure ni PM nikupe namba ya appointment au tuna sms 0756803528
 
we ni mp.uuzi sana wewe

Huyo nimeona hata kumjibu hafai, anataka kumharibia mada yake Bi Zainab, hana zaidi ni roho mbaya tu, nimemuona kaanzia mbali akapewa majibu mazuri na Bi Zainab, akaona fursa ni kuniingia mimi na mimi nimemnyamazia kimya, makusudi.
 
Naomba kujua ni maeneo gani ili nije kupima afya yangu

Kituo kipo Tanesco Mikocheni kinaitwa Eternal International Biotechnology (Tanzania Branch)

Ukifika TANESCO, unafata njia inayoingia ndani kuelekea Msasani, hapo pembeni ya TANESCO ile ya zege ukifika mwisho wa zege kwenye kona ya kwanza mkono wa kushoto, ndiyo hapo hapo nyumba ya kona, utaona bendera bendera za ufunguzi getini.

Karibu sana na kama una maswali yoyote usisite kutuuliza.
 
Offer ya kupima afya yako bure inaendelea leo saa tatu mpaka saa nane mchana.

Kama umekaa umepumzika Jumamosi ya leo ni bora ukapime afya yako.

Ni PM nikupe namba y ya appointment.

Na Jumanne , Alhamisi na Jumamosi ijayo itaendelea.
 
Bi Zainab, licha ya kukuhangaisha na swaum jana, napenda kutowa shukran zangu za dhati kwa kuwacha shughuli zako zote na kunipeleka kwenye kituo cha tiba. Nimeona bora niingie hapa hapa kutowa shukran zangu.

Ingawa tulichelewa lakini tunashkuru kwa "wasta" wako tukahudumiwa vizuri sana. Ahsante kwa hilo. Na ahsante sana kwa ukarimu wako, Mwenyeezi Mungu akuzidishie ukarimu daima milele, kwetu na kwa wengineo.

Zaidi ya hayo nimependa sana lile sofa la massage na nimependa namna wanavyopima na nimekubali matokeo.

Sema mwambie yule mchina mfupi, aache kukodelea watu kama hana akili vizuri. Lakini mwambie Ahsante sana kwa zawadi ya dawa ya meno na sabuni, kweli nimeitumia dawa ya meno jana usiku na leo, ni super kabisa, sijawahi kutumia dawa so refreshing kama ile. Gozi nalo limeisifu. Na sabuni ni so smooth nimeikubali. Mwambie tukija tena asichoke kutupa hizo offer - kwi kwi kwi teh teh teh. Najuwa ilikuwa ni kwa ajili yako tu ndiyo akatukirim kiasi kile, shukran sana Bi Zainab.

Pia In sha Allah ntakuja kwenye darsa la afya alilosema jana tumechelewa, ntajitahid niwahi Jumamosi ijayo. Anti Mu anakupa salaam na anasema kalipenda lile kochi, hamumuuzii? na kapenda sana ile nini sijuwi ya car massage, kaanza kuiweka kwenye gari jana hiyo hiyo na kufika nyumbani kaitowa kaiweka kwenye kochi, mpaka nnamwambia huo mwili utatepeta, kila saa anakiwasha kimkande, nnakwambia kimekuwa maonesho kila mtu anaoneshwa kinavyofanya kazi, mimi kanikatalia nisikitumie wala nisikiguse, ntakuja kuchukuwa changu. Bahili sana huyu mwanamke.

Zainab thanks again and Ramadhan Kareem.
 
FaizaFoxy, Oh Faiza, unanitia unyonge ukisema hivo. Ni wajibu wangu.

Anti yako si alisema toka jana hukigusi. Usilalamike uje na wewe ununue wacha ubahili. Sofa lile haliuzwi lakini ukitaka nione nitakuagizia jipya, tena zuri zaidi. Mwambie huyo mzee kama kapenda dawa za meno anunue awache ubahili, naona birds of the same feather.

Usiache kuja Jumamosi mapema uwahi training ya afya. Nisalimie sana Anti Mu, uje nae nimempenda vituko vyake alipoongea Kichina ndio kaniacha hoi. Maana alivyo sikuzania kama anaweza kuongea Kichina. Mpaka mchina kashangaa.

Asante.
 
Offer nyingine ya ziada.

Licha ya kupimwa bure na kupewa ripoti bure na kupewa ushauri bure. Kituo kimeona ni wakati muafaka wakati hii offer inaendelea pia kuwapa wateja somo la bure kuhusu afya na tiba.

Sasa unaweza kwenda kupimwa bure na kupata somo la bure kuhusu afya.

Jumanne na Alhamisi saa tatu asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni, Jumamosi saa tatu asubuhi mpaka saa nane mchana.

Kama una swali lolote usisite kuuliza.

Karibuni sana.

Ni PM kwa appointment au sms kwa Mzee Abdul 0756803528.
 
Wakati unasubiri kupimwa afya yako kituoni usisahau kupata massage ya bure kwenye hilo sofa:

massage-chair-for-sale-with-physio-plus-luxury-recliner.jpg
 
Hivi bado kuna vya bure sikuhizi?sikuzote nakubaliana na ule msemo cha bure gharama.
 
Hivi bado kuna vya bure sikuhizi?sikuzote nakubaliana na ule msemo cha bure gharama.

Tumia fursa ukapime afya yako bure.

Hii ni introduction ya kituo kipya cha tiba. Kipo nchi nyingi Afrika na duniani.

Usiogope. Pitia hii webisite ujionee: Eternal International

Tuna promote Health Wealth Peace Love.
 
Back
Top Bottom