Bure: Fursa ya mwaka, pima afya yako

Bure: Fursa ya mwaka, pima afya yako

Mnatibu meno?..

Tafadhali ningependa orodha ya huduma mtoazo kituoni kwenu..

Tuna dawa za kutibu matatizo ya meno na kinywa lakini kwa sasa hatuna kitengo cha meno (Dentistry or Stomatology).

Baadhi ya huduma za tiba zetu kwa sasa ni; kisukari, presha , uzito kupita kiasi, matatizo ya mifupa, mafuta kuzidi katika mwili, vidonda vya tumbo, kutopata choo, kiharusi, kupooza, kinga kushuka mwilini, maradhi ya ngozi, mwili kudhoofika, n.k.
 
Tuna dawa za kutibu matatizo ya meno na kinywa lakini kwa sasa hatuna kitengo cha meno (Dentistry or Stomatology).

Baadhi ya huduma za tiba zetu kwa sasa ni; kisukari, presha , uzito kupita kiasi, matatizo ya mifupa, mafuta kuzidi katika mwili, vidonda vya tumbo, kutopata choo, kiharusi, kupooza, kinga kushuka mwilini, maradhi ya ngozi, mwili kudhoofika, n.k.

Mnapima vidonda vya tumbo?..
 
Naomba ni pm namba ya appointment na siku yakuja tafadhali..

Sema wewe nafasi yako lini, Jumanne na Alhamisi ni kuanzia saa tatu asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni, Jumamosi saa tatu mpaka saa 8 mchana.
 
Mwanangu mapigo yake ya moyo yanadundia shingoni tatitizo ni nini je nimoja ya Huduma mzitoazo hapo.mtoto anaumri wa miaka3 moyo wake unadunda kwa kasi sana.ushauri tafadhari
 
Hamueleweki mnapatikana wapi?
Tupo Msasani karibu ya TANESCO, (njia ya kwenda kwa Mwalimu Nyerere) siku za kupima ni Jumanne, Alhamisi na Jumamosi saa tatu asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni, Jumamosi ni saa tatu asubuhi mpaka saa nane mchana.

Ukiwa tayari nijulishe nikupe namba ya appointment.

Free of Charge.

Asante




 
Mwanangu mapigo yake ya moyo yanadundia shingoni tatitizo ni nini je nimoja ya Huduma mzitoazo hapo.mtoto anaumri wa miaka3 moyo wake unadunda kwa kasi sana.ushauri tafadhari

Kwa sasa hivi hatuna specialist wa watoto wadogo ninakushauri kamuone specialist wa watoto, au nenda hospitali ya wilaya uliyopo wakupe referral ya kwenda Muhimbili kitengo cha moyo.

Usifanye ajizi.
 
Mimi nafikiri ni sahihi kusema Tanesco Mikocheni, ndio watu walivyozoea kupaita. Kituo kinaitwa Chama, unapanda mabasi ya kawe. Muhimu utuambie mtu akishuka hapo anaelekea upande gani na hosp inaitwaje. Maana unatuacha tu hewani tukishika hapo hatujui tuelekee wapi.
 
Back
Top Bottom