Bungeni: Shibuda aongelea hatma yake ndani ya CHADEMA!

Bungeni: Shibuda aongelea hatma yake ndani ya CHADEMA!

Kuhusu suala la lake la kuenguliwa kasema hamuogopi mtu kachaguliwa na wana Maswa.

kwa hiyo wanamaswa wamemchagua ili aende njengoni kujiombea posho na si kuwatetea wao! "ati ujira wa mwiha hautoshi tunaomba tuongozewe"! wakati wananchi wake huko maswa wanalia na bei za pamba na wengine wanakufa njaa! ajiangale mara mbili mbili huyu!
 
Gbrain na thinktaker, hivi hamna kazi zaidi ya kuwa critical against CDM?
Chadema ni chama kinachoelewa maana ya 'democracy' tofauti na CCM (Sumaye Vs UVCCM etc) there was Zutto fiasco which is no more with us. Hata huyu Shibuda he's not a celebrity in our party.
He's treading his thred carefully so far.
 
Bahati mbaya sijasikia hiyo hutuba yake lakini mimi naamini kitu kimoja tu kwamba Shibuda ni mkweli na si mtu wa kumung'unya maneno. Tatizo lilianzia kwenye posho baada ya kupingana na wenzake lakini sasa suala la Posho ndani ya CDM limeishia wapi? Mbona hawalipingi tena na wamekaa kimya? Sasa kama Shibuda hakuwa mkweli ni nini? Hakutaka kuwa mnafiki kama walivyowanafiki wengi.

mkuu ulitaka kila siku chadema waongeleee posho tu!
hapo umepotea.Ni kwamba posho zimepingwa na serikali imesikia.wanaendelea na mengine la sivyo wakikalia kwenye posho tu watashindwa kufanya mambo mengine ya kimaendeleo!
 
Hii ni nafasi nyingine ya CDM kuonyesha kwamba mwanachama mmoja hawezi kuwa mkubwa kuliko chama chake. Ni wakati muafaka wa kuachana na huyu ndugu na kutilia mkazo kwenye maslahi ya Taifa. Huyu mheshimiwa anaonekana kuwa mtu wa kutaka ugomvi saa zote. Isitoshe, mgogoro wake na chama unalihusu je Bunge?
 
Usilete ushabiki koko hapa.......mbona Mrema alipowachana CCM bungeni 1994 kuhusu Chavda mlimtimua?

Ww mwenyewe hapo umekasirika leo hata familia yako itakujua na sijui km leo utaomba hata mambo kwa mkeo. Huyo ndio Shibuda, kiboko ya CDM wanasiasa uchwara !
 
Gbrain na thinktaker, hivi hamna kazi zaidi ya kuwa critical against CDM?
Chadema ni chama kinachoelewa maana ya 'democracy' tofauti na CCM (Sumaye Vs UVCCM etc) there was Zutto fiasco which is no more with us. Hata huyu Shibuda he's not a celebrity in our party.
He's treading his thred carefully so far.

Kila siku tunayasema haya, CDM sio chama ni genge la wanaharakati mnabisha, haya shibuda mtu wenu wa chumbani kabisa amewaumbua, jitoeni huko hakuna kitu !
 
Gooooooooooooooooooood joooooooooooooooooob shibuda, hawa cdm wana uchu wa madaraka ndio maana walikuwa wanataka wapate wabunge wengi hata rostam angewaambia ahamie cdm wangekubali hoooooooopleeeeeeeeeeeees cdm
 
Anachojivunia Shibuda ni kinga aliyonayo awapo bungeni. Kisheria huwezi kumchukulia mbunge yeyote kwa kauli aliyoizungumza akiwa bungeni. CDM wanalifahamu hilo ndiyo maana wanasita kumchukulia hatua. Sasa kama kweli Shibuda ni jasiri atoke bungeni aende kwenye jimbo lake halafu akauseme huo upuuzi, ninavyowajua CDM hatachukua round atakuwa out. Mpeni muda tu atoke Bungeni.

CDM ni joka la mdimu kwa Shibuda, amewapakata anawafanya anachotaka na hawawezi kumfanya kitu
 
Msikose mbaazi mkasingizia jua, haya ni ya kwenu CDM yamalizeni wenyewe, jamaa anaonekana kuwazidi kete sana ! poleniiiiiiiii
Mchukueni Shibuda wenu mvisheni gamba lake, lakini sijui kama litamkaa tena!!!!!!!!!!!!
 
Wapambe wa magamba wako busy busy kudivege msg ya shibuda

magamba and coy you will never succeed on this

 
Shibuda ni gamba hilo la kijani livuliwe uanachama
 
mkuu ulitaka kila siku chadema waongeleee posho tu!
hapo umepotea.Ni kwamba posho zimepingwa na serikali imesikia.wanaendelea na mengine la sivyo wakikalia kwenye posho tu watashindwa kufanya mambo mengine ya kimaendeleo!

Mkuu ninachosema ni kwamba Shibuda alikuwa sahihi tu. Mbona hata barua hawajaandika Rasmi ili kuzikataa posho.
 
Shibuda yule yule mpiganaji, mpambanaji and all good names alizopewa wakati akipokelewa; msemo wa kipya kinyemi mliusahau.
 
Ukungeleja kachukua ume2 tangu asb cjacheck bunge bt dis newz
Asiee!Shibuda nlimpenda sn bt as days goes nazdi kumdic
Cjui hazmtosh au?..
na y anajiamin sn tangu alivyotoka CCM tabu 2pu ka2letea CDM ndo mana alinyimwa UWAZIRI KIVULI angeleta utahila 2
HAFAII!Jaman uongoz wa CDM ngoen hli bat lishaoza linaleta CV mbaya kabisa
Daah!Fil lyk swallowin dat man!
N by ze way uliesema abt wasukuma wa maswa hawawez kumtoa uliza MWZ walivomtenda MASHA na DIALO
Wakisema NALEMAGA LOLO!Wana Mean
 
Shibuda ndio kipimo cha CDM kama wana msimamo wa ukweli kama waliofanya Arusha
 
Duh..shibuda nimemkubali asee.anatisha poleni kwa mliokerwa I IS JUST LIFE the way the cook crumble.
 
shibuda kashinda maswa kwa nguvu zake chadema kama chama imepelekwa na shibuda hata akitoka leo cdm aende TLP, NCCR, CUF au arudi CCM, atashinda tu. ndio maana ana jeuri.
<br />
<br /
kula za maoni alikuwa mtu wa ngapi mbona usemi ? Wasahau alitaka kuwa nia urais wakamtosa haja jeuli
 
Back
Top Bottom