Bungeni: Shibuda aongelea hatma yake ndani ya CHADEMA!

Bungeni: Shibuda aongelea hatma yake ndani ya CHADEMA!

Mkuu unaweka habari nusu nusu.... ameponda viongozi wa kisiasa hasa wa Chadema kwa udhalimu, na maslahi binafsi.Amesema yeye hatishwi na Kamati Kuu na amewaonya waandishi wa habari wanaobeba maslahi binafsi ndani ya Chama. Wakati anaongea wabunge wa CDM walionekana wanyonge sana
Huyo Shibuda siku zake zihesabiwa, labda ajirekebishe vinginevyo naye akae tayari, CDM NDIO HAWAOGOPI MTU KABISAAAA!!!!!!!!!!! Kama alipotea njia hiyo shauri yake, atarudi kwa Wanamaswa wamchague kwa tiketi ya chama kingine, atatemwa CDM haitavumilia watu viburi!!!!!!!!!!!
 
huyu jamaa amekosa mwelekeo anatapatapa inaelekea ni mmoja wa yale magamba yalio ganda kiunoni huyu anataaribia chama chetu(CHADEMA)
 
hivi ni mbunge wa chama gani?
Kama ni wa Chadema namshangaa kwa kukinyea kitanda chake mwenyewe.
 
Kuhusu suala la lake la kuenguliwa kasema hamuogopi mtu kachaguliwa na wana Maswa.

Wakati Shibuda anaongea wabunge wote wa CDM walikuwa wapole kama wananyolewa, kwa kweli amewachana chana viongozi yeye aliyewaita viongozi maslahi ya CDM. Sidhani km huko dodoma leo hawa jamaa watalala, amewaumbua ile mbaya mpaka aibu !
 
shibuda kashinda maswa kwa nguvu zake chadema kama chama imepelekwa na shibuda hata akitoka leo cdm aende TLP, NCCR, CUF au arudi CCM, atashinda tu. ndio maana ana jeuri.
 
Niliwaambia CHADEMA kuwa hakuna haja ya kumpa siku 90 Shibuda (kama magamba), just damp him and move on...

Kwa kweli CDM wameshaniudhi sasa. Ishu ya madiwani wa Arusha iliibuka nyuma kabisa ya upuuzi wa Shibuda, lakini ikashughulikiwa fastafasta. Wanamuogopea nini huyu? Bora hilo jimbo lipotee? Kwani CHADEMA haijiamini?

Kumbe ulikuwa hujui uko wrong side, haya rudi kwenye timu ya ushindi na inayo miliki dola !
 
Mtoa mada toa taarifa sahihi. Mimi nimeangalia na kusikiliza speech ya Shibuda naona kama ulivyoelewa na nilivyoelewa ni tofauti. Shibuda kasema vyombo vya habari vinamslead msuguano wake na chadema, Kutofautiana mawazo ni jambo la kawaida, anatekeleza matakwa ya CC, wabunge wanaomuuliza atafukuzwa lini CDM wamkome, japo ilikuwa ni kuchangia Maliasili, yeye kasema maliasili yake ni Utawala bora unaoanza na maelewano katika vyama. Ndivyo nilivyosikia mipasho ya Shibuda
 
Mkuu unaweka habari nusu nusu.... ameponda viongozi wa kisiasa hasa wa Chadema kwa udhalimu, na maslahi binafsi.Amesema yeye hatishwi na Kamati Kuu na amewaonya waandishi wa habari wanaobeba maslahi binafsi ndani ya Chama. Wakati anaongea wabunge wa CDM walionekana wanyonge sana

Gerrad ni uharaka wa kuandika tu Mkuu,sorry. Pia amesema yeye hayuko tayari kuendeshwa na viongozi Dictators ambao wanazuia maoni yake so kwake hilo halipo ana uhuru wa kuongea kweli kama dini yake inavyomuamuru.

Pia alizungumzia kiongozi ambae ni chaguo la mungu(nahisi JK) na kiongozi tamaa(means from CDM ,sasa sijui nani?). Inshort sijaamini nilichokisikia na kukiona sababu kwanza ilikuwa mchango wa wizara ya Maliasili ghafla akaomba aongelee suala lake na CDM huku akibeza na kusema hilo nalo lahusu mada ya utalii huku wabunge wa CDM wakifurahia kupita kiasi.

Nilimuona SUGU na msigwa wakimuangalia kwa ghadhabu kali. Hali tete kwa kweli km mvutano utaendela hivi.
 
Shibuda, sijui uwa anajihamini nini huyu jamaa ni nunda sana

CDM hawakumsaidia chochote Shibuda kushinda Maswa, na wakimtoa CDM hata wafanye nn jimbo hawalipati n'go. Na niwajuavyo wasukuma hakuna mtu wa CDM atakae ruhusiwa kukanyaga Maswa na ndio utakuwa mwisho wao. Ndio maana jamaa anawaendesha atakavyo kwani mkimwaga ugali yeye anamwaga mboga
 
shibuda kashinda maswa kwa nguvu zake chadema kama chama imepelekwa na shibuda hata akitoka leo cdm aende TLP, NCCR, CUF au arudi CCM, atashinda tu. ndio maana ana jeuri.

Usiwatukane watu wa Maswa kana kwamba wao ni misukule ya hilo pandikizi lenu Shibuda, wameshamsikia na wameshampima kwenye mizani na wanajua kabisa kuwa hafai kwenye safari ya ukombozi.Kufukuzwa lazima afukuzwe, nyie mdanaganyeni tu.
 
Mtoa mada toa taarifa sahihi. Mimi nimeangalia na kusikiliza speech ya Shibuda naona kama ulivyoelewa na nilivyoelewa ni tofauti. Shibuda kasema vyombo vya habari vinamslead msuguano wake na chadema, Kutofautiana mawazo ni jambo la kawaida, anatekeleza matakwa ya CC, wabunge wanaomuuliza atafukuzwa lini CDM wamkome, japo ilikuwa ni kuchangia Maliasili, yeye kasema maliasili yake ni Utawala bora unaoanza na maelewano katika vyama. Ndivyo nilivyosikia mipasho ya Shibuda
Kuhusu Wabunge kuongezewa posho (ambayo ndio chanzo cha kupishana na CDM) hujasikia? Nadhani hujamwelewa hata kidogo kwa sababu amerudia maneno yake ya baadhi ya viongozi kuwa na maslahi binafsi (ambapo amekuwa akumaanisha Zitto) na akasema wananchi wa Maswa wasitishwe na watu wanaotishia kumfukuza ambao sio vyombo vya habari bali ni viongozi wake.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Gerrad ni uharaka wa kuandika tu Mkuu,sorry. Pia amesema yeye hayuko tayari kuendeshwa na viongozi Dictators ambao wanazuia maoni yake so kwake hilo halipo ana uhuru wa kuongea kweli kama dini yake inavyomuamuru. Pia alizungumzia kiongozi ambae ni chaguo la mungu(nahisi JK) na kiongozi tamaa(means from CDM ,sasa sijui nani?).

Inshort sijaamini nilichokisikia na kukiona sababu kwanza ilikuwa mchango wa wizara ya Maliasili ghafla akaomba aongelee suala lake na CDM huku akibeza na kusema hilo nalo lahusu mada ya utalii huku wabunge wa CDM wakifurahia kupita kiasi. Nilimuona SUGU na msigwa wakimuangalia kwa ghadhabu kali. Hali tete kwakweli km mvutano utaendela hivi.

Correction: wabunge wa CCM walifurahia kupita kiasi sio CDM. Sorry wadau
 
Shibuda ndiye atakaye loose more ukilinganisha na Chama. I would fully support kumfukuza Shibuda ili awe mfano . Yeye (Shibuda) atapoteza ubunge (income) na itakuwa siyo rahisi kuhamia chama kingine kwenye uwezo wa kumfanya ashinde uchaguzi.
 
Mtoa mada toa taarifa sahihi. Mimi nimeangalia na kusikiliza speech ya Shibuda naona kama ulivyoelewa na nilivyoelewa ni tofauti. Shibuda kasema vyombo vya habari vinamslead msuguano wake na chadema, Kutofautiana mawazo ni jambo la kawaida, anatekeleza matakwa ya CC, wabunge wanaomuuliza atafukuzwa lini CDM wamkome, japo ilikuwa ni kuchangia Maliasili, yeye kasema maliasili yake ni Utawala bora unaoanza na maelewano katika vyama. Ndivyo nilivyosikia mipasho ya Shibuda

kweli ww ni kiziwi, unahitaji kuzibuliwa masikio yako, acha ushabiki na upenzi jamaa amewaumbua sana sana ! hamlali leo dodoma, au mtaitisha maandamano ya kulaani kauli za shibuda?
 
huyu n mjinga wa mwsho,m2 mzima ovyo cna,mipasho ka c mwanaume bna,wht a crap!
 
Usiwatukane watu wa Maswa kana kwamba wao ni misukule ya hilo pandikizi lenu Shibuda, wameshamsikia na wameshampima kwenye mizani na wanajua kabisa kuwa hafai kwenye safari ya ukombozi.Kufukuzwa lazima afukuzwe, nyie mdanaganyeni tu.

Shibuda leo amewaingiza viongozi + wapenzi+wanachama choo cha kike
 
ni mbunge wa watu wa maswa ndio maana anaongea kifua mbele na maswa wanamuunga mkono.
 
Back
Top Bottom