Bungeni: Shibuda aongelea hatma yake ndani ya CHADEMA!

Bungeni: Shibuda aongelea hatma yake ndani ya CHADEMA!

Ndg yangu Douglas ni kweli unachosema, hawa CCM ni hodari wa kampein za propoganda, kama Shibuda ana akili asiwasikilize watamuua. Akumbuke kifo cha Chacha Wangwe walianza hivi hivi!!!!!!!!!! Wana CDM, viongozi na Mh Shibuda chunga saana akumulikaye mchana usiku atakuchoma!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Msikose mbaazi mkasingizia jua, haya ni ya kwenu CDM yamalizeni wenyewe, jamaa anaonekana kuwazidi kete sana ! poleniiiiiiiii
 
hata wale madiwani wa Arusha walijitapa hivyo hivyo mwisho wa siku wakaishia kuzomewa. Nafikiri ni wakati mzuri kwa CHADEMA kuchukua maamuzi makini dhidi ya huyu jamaa. Tayari wananchi wa Arusha walishauliza juu ya hatua zinazochukuliwa dhidi ya huyu jamaa. Ni dhahiri kwamba hata wananchi wa kawaida wamemchoka. Its high time for him to go now.
Nazani wewe una halkili ndogo kama kuku,unazani kuwafukuza madiwani wa arusha ni sawa na kumfukuza ubunge shibuda?,KAKA SHIBUDA TUNAMHITAJI CHADEMA SISI NDO TUNAJUA CHADEMA BILA WATU KAMA SHIBUDA KITAKUWA CHAMA CHAMA CHA WATU WA SEHEMU MOJA YA NCHI UNAIJUA.
 
Unawajua kwani wewe ni Basha au Shoga la Kike?

Haya ya kujuana juana, upuuzi mtupu. Labda kama Maswa wanaKUJUA wewe.

Mhh, GeniusBrain anawajua Wana Maswa. GeniusBrain anaMJUA SHIBUDA. Adam akamjua Mkewe Eva, wakazaa mtoto...

Shibuda amewapakata CDM pabaya, na mie lazima nikupakate ww pabaya !
 
Msikose mbaazi mkasingizia jua, haya ni ya kwenu CDM yamalizeni wenyewe, jamaa anaonekana kuwazidi kete sana ! poleniiiiiiiii

Kama hamna mkono wenu katika hili mbona mnalishikia bango hivyo,mbona sisi hatuhangaiki na magamba yenu sugu mliyoshindwa kuyavua kina Lowasa na Chenge? Ila safari hii mkijaribu itakula kwenu, plani yenu yote tumeshainasa.WAUWAJI WAKUBWA NYIE
 
wajinga ndio waliwao, and in this case ni CHADEMA, basi!!!
 
Kama hujuwi siasa za Maswa acha kudanganya watu hapa jamvini. Shibuda alikuwa maarufu hata kabla ya CDM. CCM inawezekana walimtoa kwa majungu ya zile siasa za majitaka . Na swali lingine ambalo lazima ujlize kwa nini wagombea ubunge wote waliosimamishwa na CDM ni wabunge kama 30 tu Tanzania nzima waliopita? Msimuanderestimate mtu kwa sababu ametofautiana na wachache humo ndani. Hivyohivyo milmfukuza WangWe hadi sasa jimbo la tarime limeondoka.
Labda nikusaidie kitu kimoja mana mm najua si siasa ya
Maswa tu,ktk siasa kuna mvuto wa chama na mvuto wa mgombea kw wapiga kura,nadhani unaweza ukakubaliana nami.
Kama ni hivyo basi mgombea anaweza akawa hana mvuto
lkn akashinda uchaguzi kutokana na mvuto wa chama.

Shibuda alikataliwa na ccm kupitia kura za maoni akiwa
na mvuto wake huohuo na umaarufu wake huohuo
unaosema anao,ktk ccm ni Selelii pekee aliyeenguliwa kw
kupoteza mvuto kw wapiga kura.
Sibuda alinadiwa na cdm kw nguvu zote akashinda.
Chadema kupata wabunge 30 ni mafanikio mkubwa
ambayo ni dalili ya kukua kw chama,na kwanini huhoji
kuporomoka ushindi wa kishindo wa jk toka 80% hadi61%

Vile vile naomba unisidie Wangwe alifukuzwa chama lini?
na baada ya kufukuzwa ni kweli ccm ilchukua jimbo hilo?
Mana baada ya kifo cha Wangwe jimbo hilo liliendelea kuwa mikononi mwa cdm likiwakilishwa na mh Mwera,

Tuache ushabiki Shibuda anaweza kwa nafsi yake akadhani
yuko sahihi,lkn kimaadili ya chama nisahihi kuongelea mambo ya chama mahala pale?anakijenga chama?yy
mwenyewe anajijenga?anatoa funzo gani kwa kizazi kipya?
 
Mnashabikia ujinga na upumbavu!yaani your so idiot!,great damn!hamna lolote zaidi ya kutujazia ujinga badala ya kuongelea mambo yenye manufaa!Magamba bwana mh!hata kwa maji ya moto hayazinduki
Magwanda =C.R.A.P
 
Wakati Shibuda anaongea wabunge wote wa CDM walikuwa wapole kama wananyolewa, kwa kweli amewachana chana viongozi yeye aliyewaita viongozi maslahi ya CDM. Sidhani km huko dodoma leo hawa jamaa watalala, amewaumbua ile mbaya mpaka aibu !

Usilete ushabiki koko hapa.......mbona Mrema alipowachana CCM bungeni 1994 kuhusu Chavda mlimtimua?
 
ninachojua huyu bwana hamalizi kipindi cha miaka 5 kama mbunge..mark this post
 
Kwetu ingawa sisi sio wazungu tunapenda kufuga mbwa kwa ajili ya ulinzi tu.wazungu wanafuga pia kwa ajili ya mapambo(pet animal).kikwetu mbwa akiiba nyama na kumuuma aliye mfuga basi huuawa.ukikubali basi kumtumikia aliyekufuga na kukulisha uje pia kwamba yeye ndiye bwana wako,hupaswi kumbwekea,ukianza kumbwekea basi aidha una kichaa cha mbwa au una njaa,au umezeeka.au kufuta mbwa waliopo kwenye joto.kwa binaadamu inafanana japo utashi hutawala.tujiulize na tujue sio kila mtu ana utashi na maadili.ukweli waafrika walio wengi hawana utashi ,ndio maana wazungu wanatufanyia wanavyotaka.huyu jamaa hana aibu na na wala utashi.asulubiwe kwani anayataka kwa uchokozi wake
 
Kwetu ingawa sisi sio wazungu tunapenda kufuga mbwa kwa ajili ya ulinzi tu.wazungu wanafuga pia kwa ajili ya mapambo(pet animal).kikwetu mbwa akiiba nyama na kumuuma aliye mfuga basi huuawa.ukikubali basi kumtumikia aliyekufuga na kukulisha uje pia kwamba yeye ndiye bwana wako,hupaswi kumbwekea,ukianza kumbwekea basi aidha una kichaa cha mbwa au una njaa,au umezeeka.au kufuta mbwa waliopo kwenye joto.kwa binaadamu inafanana japo utashi hutawala.tujiulize na tujue sio kila mtu ana utashi na maadili.ukweli waafrika walio wengi hawana utashi ,ndio maana wazungu wanatufanyia wanavyotaka.huyu jamaa hana aibu na na wala utashi.asulubiwe kwani anayataka kwa uchokozi wake
Zero substance
 
Back
Top Bottom