Jee, UKAWA ikitokea bahati mbaya mkachukuwa nchi mtaendeleza hili la kurudishia watu mali zao walizodhulumiwa?
Hilo nalo neno, tunataka nchi isiyodhulumu raia wake, na ikiwa leo wamekiri hili nililoandika nadhani na hayo uyaletayo ukiyawakilisha kwa mbunge wako kwa ushahidi kama alivyofanya huyo aliyetetewa na mbunge wake leo bungeni utakuwa umefanya la maana sana katika kupigania haki.
Jee, UKAWA ikitokea bahati mbaya mkachukuwa nchi mtaendeleza hili la kurudishia watu mali zao walizodhulumiwa?
Hawa wananchi ndiyo walioteseka.
Nionyeshe picha moja tu ya "mwarabu koko" au mhindi "amekomeshwa" na Nyerere na anaishi maisha ya dhiki kama haya.
Mali zipi zilizodhulumiwa zilifika hapa kuwakomboa?
View attachment 258643
Aliyekomeshwa na Nyerere ni mlalahoi siyo aliyedhulumiwa.
Nani aliyekufa na njaa kijijini?
Nani aliyekula ugali wa njano wa misaada?
Nani alikula mlo mmoja kwa siku?
Nani aliyetembea na matambara mabovu kama nguo?
Umeshawahi kusoma wahindi waliofukuzwa na Idi Amin wanateseka London? Google usome biashara zao leo.
Museveni mwenyewe kawarudishia mali zao na leo wana viwanda vingi na ni wakulima wakubwa Uganda.
Angalia matajiri wa Tanzania leo.
Nani mtoaji mkubwa wa ajira na mlipa kodi?
Kuwa mkweli. Acha chuki binafsi na ubaguzi.
Hawa wananchi ndiyo walioteseka.
Nionyeshe picha moja tu ya "mwarabu koko" au mhindi "amekomeshwa" na Nyerere na anaishi maisha ya dhiki kama haya.
Mali zipi zilizodhulumiwa zilifika hapa kuwakomboa?
View attachment 258643
faiza acha uongo nani amerudishiwa mali yake?Jee, UKAWA ikitokea bahati mbaya mkachukuwa nchi mtaendeleza hili la kurudishia watu mali zao walizodhulumiwa?
Muongo akishazoeleka kwa kusema uwongo, basi siku akisema ukweli kuna watu wanadhani anatakiwa kupongezwa.. Kupongezwa atapongezwa endapo tu ... Atalipa waliodhurumiwa kwenye kila nyanjaLeo nimeona "live" katika bunge wakati wa majumuisho ya bajeti ya Wizara ya fedha, kuna mbunge (sikumbuki jina) alisimama kumtetea mtu wa jimboni kwake kuwa alidhulumiwa wakati wa "uhujumu uchumi" na amekuwa anahangaishwa kulipwa madai yake na mwisho akaambiwa amechelewa. Mbunge huyo alisema kama kuchelewa alikuwa hajachelewa kwani anadai siku zote na ushahidi upo. Ndipo aliposimama Naibu Waziri wa Fedha na kumtaka huyo mbunge kuwa awasilishe madai yake yote kwake na karatasi zake zote na anaahidi kushughulikia hilo na kuhakikisha haki inapatikana kwani ni kweli wengi walidhulumiwa wakati wa (operesheni) ya Uhujumu Uchumi.
Ikumbukwe kuwa hii operesheni ilifanyika wakati marehemu Nyerere akiwa Rais na marehemu Sokoine akiwa Waziri Mkuu.
Huyo mbunge alisema kuwa wapo pia waliolipwa kwa kuonekana kweli walidhulumiwa.
Sasa nnajiuliza, na tusichangie hili kwa jazba, Ikiwa serikali inakiri tena bungeni, watu walidhulumiwa, jee ni hatua gani wale waliodhulumiwa wazee ambao wameshakufa ili kudai haki zao, si kurudishiwa tu mali zao na hukumu ipi "posthumous" inayoweza kutolewa kwa waliodhulumu?
Tukumbuke watu walidhulumiwa si katika uhujumu uchumi tu, kama Serikali ilivyokiri leo bungeni bali pia kuna watu waliodhulumiwa wakati wa Azimio la Arusha. Nao wakati wa Mwinyi waliambiwa wakadai lakini kwa kuwa haikutangazwa sana wengine walipoenda wakaambiwa wamechelewa, hivi haki ya mtu kweli ina kuchelewa katika kuidai?
Kwanza nnaisifu sana Serikali ya awamu hii kwa kukiri hilo bungeni "live" kuwa kweli kuna dhuluma ilitendeka. Kwa hakika Serikali kukiri hilo kosa ni ujasiri mkubwa sana na ni njia nzuri sana ya wananchi waliodhulumiwa kuweza kurudisha imani kwa Serikali yao na sasa wapokelewe na kurudishiwa mali zao na kusiwe na hili suala la kuchelewa.
Naipongeza Serikali kwa hilo, na lisiishie hapo watutangazie tuanzie wapi? Kwani nnaamini si wengi waliosikia hilo bungeni kwani si wengi wanaotazama bunge.
Nawaomba na waandishi wa habari walitangaze hili, kwani ni jambo la kheri kubwa sana, hakuna dua inayopokelewa haraka kama ya mwenye kudhulumiwa, pengine haya majanga yote yanayotupata Tanzania ni kwa hizo dhuluma zilizofanywa na viongozi wetu huko nyuma, ni wakati muafaka Serikali kukiri hilo na kuanza kufanya toba na kurudisha imani ya wananchi kwa Serikali yao.
Hansard zitakuwa zipo kwa wanaotaka kuelewa zaidi.
Ahsante Serikali kwa kuliweka wazi hilo.
Duuuuuh camera mega pixel 16,wakati huo zilikuwepo?Acha fix
Jee, UKAWA ikitokea bahati mbaya mkachukuwa nchi mtaendeleza hili la kurudishia watu mali zao walizodhulumiwa?
Jee, UKAWA ikitokea bahati mbaya mkachukuwa nchi mtaendeleza hili la kurudishia watu mali zao walizodhulumiwa?
Leo nimeona "live" katika bunge wakati wa majumuisho ya bajeti ya Wizara ya fedha, kuna mbunge (sikumbuki jina) alisimama kumtetea mtu wa jimboni kwake kuwa alidhulumiwa wakati wa "uhujumu uchumi" na amekuwa anahangaishwa kulipwa madai yake na mwisho akaambiwa amechelewa. Mbunge huyo alisema kama kuchelewa alikuwa hajachelewa kwani anadai siku zote na ushahidi upo. Ndipo aliposimama Naibu Waziri wa Fedha na kumtaka huyo mbunge kuwa awasilishe madai yake yote kwake na karatasi zake zote na anaahidi kushughulikia hilo na kuhakikisha haki inapatikana kwani ni kweli wengi walidhulumiwa wakati wa (operesheni) ya Uhujumu Uchumi.
Ikumbukwe kuwa hii operesheni ilifanyika wakati marehemu Nyerere akiwa Rais na marehemu Sokoine akiwa Waziri Mkuu.
Huyo mbunge alisema kuwa wapo pia waliolipwa kwa kuonekana kweli walidhulumiwa.
Sasa nnajiuliza, na tusichangie hili kwa jazba, Ikiwa serikali inakiri tena bungeni, watu walidhulumiwa, jee ni hatua gani wale waliodhulumiwa wazee ambao wameshakufa ili kudai haki zao, si kurudishiwa tu mali zao na hukumu ipi "posthumous" inayoweza kutolewa kwa waliodhulumu?
Tukumbuke watu walidhulumiwa si katika uhujumu uchumi tu, kama Serikali ilivyokiri leo bungeni bali pia kuna watu waliodhulumiwa wakati wa Azimio la Arusha. Nao wakati wa Mwinyi waliambiwa wakadai lakini kwa kuwa haikutangazwa sana wengine walipoenda wakaambiwa wamechelewa, hivi haki ya mtu kweli ina kuchelewa katika kuidai?
Kwanza nnaisifu sana Serikali ya awamu hii kwa kukiri hilo bungeni "live" kuwa kweli kuna dhuluma ilitendeka. Kwa hakika Serikali kukiri hilo kosa ni ujasiri mkubwa sana na ni njia nzuri sana ya wananchi waliodhulumiwa kuweza kurudisha imani kwa Serikali yao na sasa wapokelewe na kurudishiwa mali zao na kusiwe na hili suala la kuchelewa.
Naipongeza Serikali kwa hilo, na lisiishie hapo watutangazie tuanzie wapi? Kwani nnaamini si wengi waliosikia hilo bungeni kwani si wengi wanaotazama bunge.
Nawaomba na waandishi wa habari walitangaze hili, kwani ni jambo la kheri kubwa sana, hakuna dua inayopokelewa haraka kama ya mwenye kudhulumiwa, pengine haya majanga yote yanayotupata Tanzania ni kwa hizo dhuluma zilizofanywa na viongozi wetu huko nyuma, ni wakati muafaka Serikali kukiri hilo na kuanza kufanya toba na kurudisha imani ya wananchi kwa Serikali yao.
Hansard zitakuwa zipo kwa wanaotaka kuelewa zaidi.
Ahsante Serikali kwa kuliweka wazi hilo.
Wewe umezaliwa lini?
Vijijini kulikuwa hamna njaa na dhiki?
Na vyakula vya ration ni fix pia?
Kweli mmerogwa!
Serikali hii ya awamu ya nne ndiyo hasa imeweka dhuluma kupitia kodi za kero na zisizolipika kama kipaumbele chake. Nitatoa mifano michache:
1.Kupandisha Motor vehicle licence kutoka elfu 20 hadi laki 3 kwa mwaka
2.kuongeza gharama za fire tingisha kutoka elfu 5 hadi elfu 50 bila sababu yoyote
3. Land rent imeongezwa hadi 300% bila sababu yoyote ya msingi
4. Kunyanganya watu ardhi yao na kuwapa wawekezaji bila fidia au kwa fidia mbuzi
5. kutowalipa wafanyakazi salaries increaments au pesa za likizo
7. kuwabambika wafanya biashara kodi kubwa zaidi ya ile wangetakiwa kulipa kwa kiwango cha mitaji yao
8.kuwauzia wafanya biashara EFDs za elfu 30 kwa laki 8
9. kulipa wafanyakazi mishahara mbuzi
10. Kudhulumu haki ya watu kuandamana, kuchagua wanayempenda
11. etc
Kuu hii picha ni ya kipindiDuuuuuh camera mega pixel 16,wakati huo zilikuwepo?Acha fix