Bungeni: Serikali yakiri kudhulumu watu

Bungeni: Serikali yakiri kudhulumu watu

Dhulumma za Escrow, EPA, Kagoda and the likes ambazo zipo dhahiri na tumedhulumiwa watanzania wote sijui zitalipwa lini?
Ndiyo maana hawataachia nchi kirahisi maana malipo yake wanayajua. Ndiyo hizo hela wanatukania watu mitaani na kujibu ovyo.


Eti tusubiri miaka 40 ijayo waje kukiri kuwa walikosea, sijui shilingi yetu itakuwa na thamani gani by that time..
 
Profesa Kikwete alikiri nchi imedhulumiwa kwenye suala la Escrow hilo hukuliona. Akasema anawajua wauzaji wa madawa ya kulevya, kwa majina. Mpaka leo hatujasikia akichukua hatua. Akawasamehe bure wezi wa EPA ingawa alikiri nchi ilidhulumiwa. Hayo yote huyaoni.

Tukisema unaongozwa na chuki/mahaba ya kidini tutakuwa tunakosea?
 
Profesa Kikwete alikiri nchi imedhulumiwa kwenye suala la Escrow hilo hukuliona. Akasema anawajua wauzaji wa madawa ya kulevya, kwa majina. Mpaka leo hatujasikia akichukua hatua. Akawasamehe bure wezi wa EPA ingawa alikiri nchi ilidhulumiwa. Hayo yote huyaoni.

Tukisema unaongozwa na chuki/mahaba ya kidini tutakuwa tunakosea?


Pia alisema anawajua majangili wanaomaliza tembo na kiongozi wao yupo Arusha. Sasa huwa najiuliza kazi ya urais tulimpa ya nini?
 
Toa ujinga wako hapa, miaka ile hapakuwa na picha za rangi, unamlaghai nani?
Ebu muulize baba yako Tz ilikuwa ya ngapi kufuta ujinga duniani miaka ile?

Sina haja ya kumwuliza baba yangu, nilikuwepo.

Kujua kusoma na kuandika vizuri ndiyo iliepusha njaa vijijini au unakataa kulikuwa hamna njaa kwa kuwa nimeleta picha ya juzi Kama mfano wa njaa?

Tumia ubongo kidogo.

Nilikuwa najibu hoja yako kuwa Nyerere "aliwakomesha" warabu koko. Mjinga ndiyo hajui Tanzania bado kuna njaa vijijini.Mimi nilikuwa sipo hapo kabisa.

Nataka kukuonyesha njaa ya kijijini. Unitafutie ya wahindi na "warabu koko" wa Tanzania "waliokomeshwa" kama hawa baada ya kudhulumiwa mali zao na Nyerere.

Siku nyingine nikitaka kuonyesha mfano wa kahawa, nitaitafuta kahawa ya Africafe, kwa sababu huenda utaikata kahawa ya Nescafé kama mfano wa "kahawa".

Kazi ipo.
 
Njaa na dhiki vimeisha vijijini?
Hebu usiwe mzigo na badala yake Fikirisha akili yako kidogo,mlalahoi utamdhulumu nini?

Nisome vizuri.

Baada ya mali kutaifishwa, nani "alikomeshwa" kama Mkuu hapo juu anavyodai?

Jaribu kwenda na logic yangu, siyo kukurupuka.
 
Sina haja ya kumwuliza baba yangu, nilikuwepo.

Kujua kusoma na kuandika vizuri ndiyo iliepusha njaa vijijini au unakataa kulikuwa hamna njaa kwa kuwa nimeleta picha ya juzi Kama mfano wa njaa?

Tumia ubongo kidogo.

Nilikuwa najibu hoja yako kuwa Nyerere "aliwakomesha" warabu koko. Mjinga ndiyo hajui Tanzania bado kuna njaa vijijini.Mimi nilikuwa sipo hapo kabisa.

Nataka kukuonyesha njaa ya kijijini. Unitafutie ya wahindi na "warabu koko" wa Tanzania "waliokomeshwa" kama hawa baada ya kudhulumiwa mali zao na Nyerere.

Siku nyingine nikitaka kuonyesha mfano wa kahawa, nitaitafuta kahawa ya Africafe, kwa sababu huenda utaikata kahawa ya Nescafé kama mfano wa "kahawa".

Kazi ipo.

Hebu acha ujinga,unataka kumuaminisha nani kuwa waliokuwa maskini wa kutupwa vijijini walidhulumiwa na Nyerere?Hivi unaelewa unachokiongea?
 
Haaahaaa...kuna watu wana matatizo sana. Huyu mtoa mada ni mmoja wapo. Anaona makosa ya Nyerere anasahau dhuluma ambazo yeye na rafiki zake wanawafanyia watu sasa hivi. Inaelekea ameneemeka sana na wizi unaoendelea. Anatafuta namna ya kujifariji kwa kumsema Nyerere....kama Nyerere ndio aliendesha ile kampeni ya uhujumu uchumi, basi na JK naye ndio anabeba msalaba wa haya madudu yanayoendelea sasa
 
Pia alisema anawajua majangili wanaomaliza tembo na kiongozi wao yupo Arusha. Sasa huwa najiuliza kazi ya urais tulimpa ya nini?

Huenda anadhani Urais kazi yake ni kujulishwa habari za wahalifu na kulihutubia taifa 🙂
 
Maelezo yako mazuri sana kwa muono wako, sasa jibu swali:

Jee, mtaendeleza hili la kurudishia watu mali zao walizodhulumiwa wakati wa Nyerere na Sokoine kama ilivyoelezwa bungeni, (soma post namba moja)?
Ngoja tuone kama huyu jamaa atarudishiwa mali yake ili kuwe na "legal precedent". Isije kuwa danganya toto ya Waziri.
 
Hebu acha ujinga,unataka kumuaminisha nani kuwa waliokuwa maskini wa kutupwa vijijini walidhulumiwa na Nyerere?Hivi unaelewa unachokiongea?

Bado hujanuelewa!

Narudia mara ya mwisho, pole pole.

1. Nyerere kawadhulumu mali za watu.

2. Kuna mchangiaji juu hapo kasema "kawakomesha" warabu koko.

3. Nimesema watu "waliokomeshwa" ni wa vijijini kwa kuwa hali yao ilikuwa mbaya sana. Wanalala na njaa, wanakula mlo mmoja.

4. Nikasema niletee picha ya wahindi au warabu walioishi maisha ya dhiki kama yao, kuonyesha "wamekomeshwa" na Nyerere kwa kutaifishwa Mali zao.

5. Conclusion : wahindi na warabu wanaishi vizuri Tanzania hata walipodhulumiwa Mali zao. Wazawa wa kijijini na mjini ndiyo walioteseka zaidi kifedha na kiafya. Nimemjibu kwamba sasa hapo kakomeshwa nani? Kuna Mhindi au Mwarabu alikufa njaa?

Umenielewa sasa?
 
FaizaFoxy hata dhuluma ya idadi ya kura alizopata Padre Slaa nayo itangazwe ili fidia iwekwe wazi..maana marupurupu ya wabunge wa kuteuliwa kwa miaka mitano ingeweza kujenga upinzani imara zaidi...kuliko huu. Serikali iseme

Hizo porojo, kwani alikuwa hana mawakala wake wa kuhesabu kura?
 
Ngoja tuone kama huyu jamaa atarudishiwa mali yake ili kuwe na "legal precedent". Isije kuwa danganya toto ya Waziri.

Wapo waliorudishiwa. Pitia hansard ya juzi usikilize.
 
Kwa muktadha wa kichwa cha habari na kilichomo ndani ya bandiko lako na ukisoma pale nilipoweka wino mzito, bandiko lako linajikanganya sana, kimantiki na kisheria pia.

1. Operesheni hiyo ilifanywa na Serikali = hivyo hakutakuwa na "posthumous judgment" dhidi ya Serikali kwni Serikali haijafa na ni nadra sana kwa Serikali kufa. Na hata inapotokea mapinduzi au nchi mpya kuzaliwa kutoka nchi ya zamani na Seikali mpya kuingia/kuzaliwa, madeni na madai huendelea kuwapo na kudaiwa, "subject to the statute of limitation".

2. Kama ulimaanisha watu/watendaji waliofanya dhuluma hiyo, itakuwa ngumu kuwadai kwani walifanya wakiwa kazini, i.e in the course of emplyoment.

Kwa hiyo hoja yako inakosa msingi kwa mantiki ya mkanganyiko huo wa kisheria. Na kama ulimlenga Nyerere hapo ndio ngumu kabisa kwani ana kinga ya kikatiba.

Kuna Hakimu wa mahakimu, huyo usimsahau.
 
Sio tu waliodhulumiwa mali watarudishia, lakini pia watu kama Dr. Ulimboka aliyeteswa na Ramadhani Ighondi kwa maelekezo ya Ikulu naye atapewa fidia kwa mateso aliyoyapata na wale wote waluiohusika kuagiza, au kushiriki moja kwa moja katika utesaji watafikishwa kwenye vyombo vya sheria.

Nnashaka chadema kuwa ndiyo wahalifu kwani alikutwa mitaa ya nyumba aliyemjengea hawara yake Slaa, Mabwepande.

Ili tu waipakazie Serikali. Ya juzi ndiyo kabisa, si unayakumbuka ya kuminywa korodani KK?
 
Hilo nalo neno, tunataka nchi isiyodhulumu raia wake, na ikiwa leo wamekiri hili nililoandika nadhani na hayo uyaletayo ukiyawakilisha kwa mbunge wako kwa ushahidi kama alivyofanya huyo aliyetetewa na mbunge wake leo bungeni utakuwa umefanya la maana sana katika kupigania haki.

Wakili sha = Wasili sha. ( wakili - wasili )
 
Back
Top Bottom