Bungeni: Serikali yakiri kudhulumu watu

Bungeni: Serikali yakiri kudhulumu watu

Jee, hauoni kuwa Serikali imefanya la maana sana kukiri waziwazi kuwa wako kweli waliodhulumiwa wakati wa uhujumu uchumi na huyo Mzee Rage ni mmoja wapo. allitwajwa kwa jina. Alidhulimiwa million 85 za wakati huo, za leo ngapi?

Tunamsifu sana Waziri kukiri hilo na kusema atalishugulikia na kama kuna wengine wana madai wakamuone.

Tunashangazwa sana habari muhimu kama hiyo, ambayo ilikuwa inatakiwa vyombo vya habari viipe kipaumbele, lakini cha ajabu, sijaona hata chombo kimoja cha habari kikirudia hayo, si magazeti, si kwenye TV wala redio ili kuwe na chance kubwa zaidi ya waliodhulumiwa wasikie na wakadai fidia zao. Kulikoni?

Tuwapingeze kwa kukiri tu? U can't be serious subiri vitendo atatokea jakaya hapo kukanusha na kusema Mali ilikuwa ni ya umma yaani kama alivyosema Pesa ya escrow si ya umma chezea serikali ya ccm we kila MTU anandevuuu
 
Leo waziri kasema zi[elekwe karatasi za huyo aliyetetewa na mbunge na pia kama kuna wengine waende.

Ni jambo jema hilo.

90 Days ni kidogo sana, wengine wamekufa waliobaki ni warithi, nope, ni ndogo sana. Na kama ni hivyo usemavyo ni sawa (ingawa hauna uhakika) basi iondolewe hiyo Sheria ya 90 days, wengine hawakuwepo nchini na wana haki zao.
Lazima Kuwe na statute of limitations kwa Kensi Kama hizi. kama kulikuwa na ruling, in absentia na ruling Kiswahili not guilty, Mali unaziclaim katika muda Fulani utakaoamuliwa na IGP. Hata gari lako likilala central uani kwa mwaka itauzwa.
Kuhusu azimio la Arusha, waliorudishiwa ni wanasiasa tu, kujenga class yenye hela ambayo pia ita remain loyal, nothing more.
 
Umeisoma mada lakini?
Hata wakati wa Operesheni ya Tokomeza Majangili na ike ya kufukuza wahamiaji haramu chini ya Rais Jakaya Kikwete watz wengi tu walidhurumiwa mali zao na wengine hadi kuuawa!

Rejea ripoti ya James Lembeli(MB Kahama) iliyo mfukuzisha kazi Waziri Kagasheki na wenzake
 
Tuwapingeze kwa kukiri tu? U can't be serious subiri vitendo atatokea jakaya hapo kukanusha na kusema Mali ilikuwa ni ya umma yaani kama alivyosema Pesa ya escrow si ya umma chezea serikali ya ccm we kila MTU anandevuuu

Pesa ya escrow si ya umma kweli. Upewe huduma kwa makubaliano na mtu binafsi halafu useme pesa za umma?

Mada ni walidhulumiwa wakati wa uhujumu uchumi na waziri kakiri kuwa kweli wapo waliodhulumiwa wapo waliokwisha lipwa na wapo walioambiwa muda wa kudai umekwisha na hao anawataka wapeleke kesi zao wazipitie, haafikiani sana na hili la muda kwisha.

Jee unalolote la kuchangia kuhusu hizi dhuluma za "uhujumu uchumi"?
 
Dhuluma bado ni kubwa serikali yako unayoipenda bado inatudhulumu wananchi kwenye huduma kama vile maji na hospital yaaani ukienda hospital hakuna Dawa wala nini Pesa za umma wanagawana tu kwenye ma ufisadi yao wanasamehe kodi huku nyuma ya pazia wanapiga 10% sijui kama unaliona hilo serikali ya ccm ya sasa ni tofauti sana na ile ya nyerere najua ndani ya moyo wako utaelewa hilo ndio maana tofauti ya pato kati ya walionacho na wasionacho ni kubwa mno na linadhidi kuongezeka.

Kwanini haufungulii nyuzi yake hilo unaloliongea ili tulijadili kwa kina? hapa mada ni dhuluma za zamani wakati wa "uhujumu uchumi" wakati wa utawala wa Nyerere na Sokoine, na vipi waliodhulumiwa waambiwe muda wa kudai umekwisha wakati wengine wamelipwa. Sijui umeisoma mada?
 
Pesa ya escrow si ya umma kweli. Upewe huduma kwa makubaliano na mtu binafsi halafu useme pesa za umma?

Mada ni walidhulumiwa wakati wa uhujumu uchumi na waziri kakiri kuwa kweli wapo waliodhulumiwa wapo waliokwisha lipwa na wapo walioambiwa muda wa kudai umekwisha na hao anawataka wapeleke kesi zao wazipitie, haafikiani sana na hili la muda kwisha.

Jee unalolote la kuchangia kuhusu hizi dhuluma za "uhjumu uchumi"?

Sipendi dhuluma zooooteeeee hadi zinazoendelea sasa kwa serikali hii ya jakaya dhodi ya wananchi hivi unatambua kuwa matumizi mabaya ya Mali ya umma ni dhuluma kwa wananchi?
 
Kwanini haufungulii nyuzi yake hilo unaloliongea ili tulijadili kwa kina? hapa mada ni dhuluma za zamani wakati wa "uhujumu uchumi" wakati wa utawala wa Nyerere na Sokoine, na vipi waliodhulumiwa waambiwe muda wa kudai umekwisha wakati wengine wamelipwa. Sijui umeisoma mada?

Kama waziri kakiri lazima walipwe lakini kwa serikali hii sijui
 
Sipendi dhuluma zooooteeeee hadi zinazoendelea sasa kwa serikali hii ya jakaya dhodi ya wananchi hivi unatambua kuwa matumizi mabaya ya Mali ya umma ni dhuluma kwa wananchi?

Soma mada, tunataka tujuwe kama muda wa kudai haki unakwisha? na unawashauri nini waliodhulumiwa wakati huo wa uhujumu uchumi na wa Azimio la Arusha, hayo mengine fungulia nyuzi tutakuja kujadli, usijidai huelewi unachokisoma.
 
Dhulma za mauwaji,Machimbo ya madini migodini Serikali yako sikivu ilishakiri hilo? Na kuwalipa fidia waathirika,ndugu zao?
 
Lazima Kuwe na statute of limitations kwa Kensi Kama hizi. kama kulikuwa na ruling, in absentia na ruling Kiswahili not guilty, Mali unaziclaim katika muda Fulani utakaoamuliwa na IGP. Hata gari lako likilala central uani kwa mwaka itauzwa.
Kuhusu azimio la Arusha, waliorudishiwa ni wanasiasa tu, kujenga class yenye hela ambayo pia ita remain loyal, nothing more.


Hapana si wana siassa tu, kuna watu nnawajuwa ambao hawako kwenye siasa wamerudishiwa baadhi ya mali zao.

Hizo limitation za gari kuwa central na masuala haya kwa muono wangu ni vitu tofauti.

Kwanini viziondolewe limitation au iwekwe ya kmuda mrefu ili watu wapate fursa ya kudai mali zao, kwani kuna wenye mali waliodhulumiwa na wamekufa lakini kuna warithi wao.
 
Soma mada, tunataka tujuwe kama muda wa kudai haki unakwisha? na unawashauri nini walidhulumiwa wakati huo wa uhujumu uchumi na wa Azimio la Arusha, hayo mengine fungulia nyuzi tutakuja kujadli, usijidai huelewi unachokisoma.

Wewe ndio uelewi nimekuambia sipendi dhuluma zooote na siungi mkono dhuluma hata kama imefanywa na mama yangu nitapinga so si nyerere wala kikwete si mpagani, mkristo wala muislam sipendi dhuluma
 
Dhulma za mauwaji,Machimbo ya madini migodini Serikali yako sikivu ilishakiri hilo? Na kuwalipa fidia waathirika,ndugu zao?

Kafungulie nyuzi hayo yako tutakuja kujadili, hapa mada ni waliodhulumiwa wakati wa "uhujumu uchumi" na kilichoongewa bungeni kuhusu hilo, hebu soma mada.
 
Wewe ndio uelewi nimekuambia sipendi dhuluma zooote na siungi mkono dhuluma hata kama imefanywa na mama yangu nitapinga so si nyerere wala kikwete si mpagani, mkristo wala muislam sipendi dhuluma

Soma tena tartiiiibu, utanielewa tu:

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Soma mada, tunataka tujuwe kama muda wa kudai haki unakwisha? na unawashauri nini waliodhulumiwa wakati huo wa uhujumu uchumi na wa Azimio la Arusha, hayo mengine fungulia nyuzi tutakuja kujadili, usijidai huelewi unachokisoma.
 
Dhulma za mauwaji,Machimbo ya madini migodini Serikali yako sikivu ilishakiri hilo? Na kuwalipa fidia waathirika,ndugu zao?

Soma mada, tunataka tujuwe kama muda wa kudai haki unakwisha? na unawashauri nini waliodhulumiwa wakati huo wa uhujumu uchumi na wa Azimio la Arusha, hayo mengine fungulia nyuzi tutakuja kujadli, usijidai huelewi unachokisoma.
 
Soma tena tartiiiibu, utanielewa tu:

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Soma mada, tunataka tujuwe kama muda wa kudai haki unakwisha? na unawashauri nini waliodhulumiwa wakati huo wa uhujumu uchumi na wa Azimio la Arusha, hayo mengine fungulia nyuzi tutakuja kujadili, usijidai huelewi unachokisoma.

Waziri amekiri na ayalifanyia kazi je ni nani aliyeweka hiyo time flame kama si serikali yako ya ccm? Then tujadili nn ambacho baraza lako LA mawaziri hawakijui? Wamewadhulumu wao na watawalipa wao au kama kawaida ya serikali ya ccm isivyo sikivu watawakaushia tu wazee Wa watu amini nakuambia wewevkesha jamii forum andikaaaa weeeee lakini sioni utekelezaji wake kwa ccm ni maneno tu ya uchaguzi dhuluma bado ni kubwa sana na waluodhulumiwa ni wengi na wanaondelea kudhulumiwa ni wengi pia nenda kwenye mahakama zetu ndio utajua
 
Hilo nalo neno, tunataka nchi isiyodhulumu raia wake, na ikiwa leo wamekiri hili nililoandika nadhani na hayo uyaletayo ukiyawakilisha kwa mbunge wako kwa ushahidi kama alivyofanya huyo aliyetetewa na mbunge wake leo bungeni utakuwa umefanya la maana sana katika kupigania haki.

Raia wa nchi wengi wa nchi hii wanadhulumiwa na serikali ya chama cha mapinduzi ccm
 
[MENTION=30023]@FaizaFox Nyerere a.k.a FaizaNyerere.
Waliodhulumiwa maisha yao kwenye mabonu ya Arusha vipi? Je Mwangosi? Dr. Ulimboka?
ESCROW?
 
Wananchi wengi tu wanadhulumiwa na serikali yao katika nyanja tofauti za kijamii, iwe huko mahospotalini, shuleni, ofisini. Dhuluma hutendeka kila siku na hilo tunaliona. Hata ubadhirifu wa mali ya umma ni (uporaji) na dhulma kubwa sana.

Aidha, serikali kukiri hilo lililotokea kwa utawala wa Nyerere maana yake tu ni kuwa huyo Nyerere na Sokoine hawapo duniani, wangekuwepo hiyo serikali yenu wala isingekiri hilo. Huo bado tunauita UNAFIKI ( talking behind someone's back). Kisa Nyerere na Sokoine hawapo basi mpo huru kusema mabaya waliyoyatenda. Kama serikali hii sio ya kinafiki, basi semeni dhulma iliyofanywa na Mkapa 2000 Zanzibar ambapo wananchi wa unguja na pemba walidhulumiwa mengi ikiwa pamoja na kudhalilishwa utu wao. Watanzania ni wanafiki sana.
 
Hilo nalo neno, tunataka nchi isiyodhulumu raia wake, na ikiwa leo wamekiri hili nililoandika nadhani na hayo uyaletayo ukiyawakilisha kwa mbunge wako kwa ushahidi kama alivyofanya huyo aliyetetewa na mbunge wake leo bungeni utakuwa umefanya la maana sana katika kupigania haki.

Na hizi dhuluma zitaisha kwa kukiondoa chama dhalimu cha ccm,ungana na UKAWA wakati ni sasa kungwi.
 
Safi sana kwa kukubali kuwa uhujumu uchumi wa wakati wa Nyerere na Sokoine kuna dhulma ilifanyika.

Wewe ni kati ya wachache sana, kuna watu hawaamini kabisa kama wakati wa utawala Nyerere kungeweza kuwa kumefanyika dhulma na serikali ikaja kukiri bungeni.

Ni ajabu kubwa sana.

Sasa hapa rangI yako halisi inaanza kuonekana,toka uzi unaanza nilijua tu angle yako ni ipi!Mpaka mwisho wa mjadala utakuwa umejiweka wazi vizuri!It's all about personal attacks,Nyerere itakuwa alikutenda vibaya sana,lakini u r fighting a dead body!It won't give u any relief!

One more thing,usiwalazimishe watu kufikiria ndani ya box,kila ukibanwa unasema wakafungue nyuzi wajadili hayo!Mjadala hauwezi kuishia dhulma iliyofanyika wakati Nyerere akiwa madarakani, lazima tufikiri zaidi!je,mambo hayo ni kweli?je,kwanin ilitokea hivyo?Kulikuwa na dhamira hiyo au walikumbwa na kimbunga kiliwapitia?je,dhuluma bado ipo Mpaka sasa?Hatua gani zimechukuliwa?

NB:katika baadhi ya waliodhulumiwa ni pamoja shule za dini ili mimi,mleta mada,mpagani,JK na watz wote tupate elimu!
Hizo taasis nazo zijitokeze kudai haki zao!
 
Back
Top Bottom