Bungeni: Mwigulu Nchemba achafua hali ya hewa!

Bungeni: Mwigulu Nchemba achafua hali ya hewa!

Huyu kijana inaonekana amedanganywa na cheo cha ccm mpaka anakosa hata akili ndogo tu ya kuzaliwa isisyohitaji shule. Atnatia aibu mpaka anakera.
Leo bungeni kaihusisha CHADEMA na mgomo wa madaktari. Akitoa ushahidi wa hoja ya Stella Manyanya ya kuihusisha CHADEMA na mgomo wa madaktari, mwigulu alisema yafuatayo:
1. CHADEMA inahusika kwa vile katika hotuba yao wamesema wanaunga mkono wafanyakazi kupigania haki zao! Je, ccm haiungi mkono watu kupigania haki zao? Wapi hoja ya maana katika hili? Je, mwigulu huuungi mkono wafanyakazi na watanzania kwa ujumla kupigania haki zao?
2. CHADEMA inahusika maana inamjali Dr. Ulimboka kuliko mbunge wao wa Rombo alopata ajali! Mimi sijui ukweli ktk hili. Lkn hebu nihis ni kweli ili nijenge hoja hii. Je, mwigulu kama chadema haimjali mtu mmoja, isimjali yeyote? Kama hawakumjali huyo mmoja, hivo wasimjali yeyote. Kuna logic hapa? Does one wrong justify another? Eti wana JF, hapa kuna logic yoyote yakumfanya mtu mwenye akili kujenga hoja???? Au ndo wataka kuhalalisha mfumo wa sasa wakujuana na kulindana wa ccm? Mwigulu kumbuka pia kwamba vifo vitokanavyo na magonjwa au ajali au majanga ni tofauti na vifo vya kutengenezwa! Hivi vinakera zaidi, na mwanasiasa makini na mwenye akili lazima ahoji hivi. mwigulu mbona watuhaibisha vijana? Kama huna hoja kaa kimya kuliko kutia aibu hizi. Wana JF mshaurini gamba huyu kijana.
 
Haoni wenzake wakina wassira,komba wanauchapa usingizi na wanalipwa funga domo kuliko kujamba mapovu bungeni
 
nilimgundua Mwigulu ni mtu wa hovyo tangu alipofumaniwa na mke wa mtu.
 
huyu bwan anajiamin kwa cheo cha gamba anasahau nyakati
 
nchemba anaona aibu ya jk kukataliwa serikali yake kumtibu anajuwa ukweli kuhusu sakata la uli
 
CHADEMA inahusika maana inamjali Dr. Ulimboka kuliko mbunge wao wa Rombo alopata ajali! .

Hilo ndio tatizo la wasomi wetu wa 1st class degree. Mbunge wa Rombo alipata ajali kutokana na matairi feki yaliyoruhusiwa kuingia nchini na TBS ya serikali ya CCM! Hilo moja.

Pili, Dr Ulimboka hajakumbana na ajali, wala hakuanguka mwenyewe. Ametekwa na polisi wa CCM, wakamtesa usiku mzima, wameng'oa meno na kucha kwa kutumia kolea, wamemvunja mbavu, wamepiga mateke na sasa figo hazifanyi kazi vizuri na kama haotoshi wakamfunga kamba mikono na miguu na kumtupa msituni. Mwigulu anata kufananisha nini hapo?

Mwigulu anaweza kumwambia baba mzazi wa Dr Ulimboka ni kwanini siku 5 zimepita hakuna mtu yoyote aliyekamatwa na kuhojiwa kuhusu huo unyama? Stella Manyanya -mwanaccm mwenziwe anawajua maana kasema bungeni aina ya nguo walizokuwa wamevaa hao watesi, sasa Mwigulu badala ya kuleta utani wa kitoto kwenye huu unyama angechukuwa maelezo toka kwa Stella Manyanya na kupeleka polisi.

Watanzania wamechoka na udhalimu wa watawala na hili la Ulimboka litawamaliza.
 
ccm imeoza juu, chini, kulia, kushoto, Mashariki, Magharibi ,Kusini , Kaskazini mpaka centre. shwain kabisa.
 
nchemba anaona aibu ya jk kukataliwa serikali yake kumtibu anajuwa ukweli kuhusu sakata la uli

tatizo sio nchemba, bali ni CCM.ukingia ccm unapewa unga wa ndere na unachanganyikiwa kabisa.tusimlaumu chizi bali tumlaumu aliyempiga rungu la kichwani na kumchanganya akili
 
Leo nimejisikia aibu sana Tanzania kuwa na Wabunge design ya Nchemba na Stella Manyanya. Nikajisikia kuumwa nchi yetu kuwa na Kiongozi wa design ya Mwenyekiti wa kikao cha Bunge leo-Mabumba.
Aina hii ya Wabunge na Viongozi, is a disgrace. Mungu atuhurumie!
 
nilimgundua Mwigulu ni mtu wa hovyo tangu alipofumaniwa na mke wa mtu.

mi nilikua nabisha kwa sababu nilisoma nae, lakini siwezi tena kubisha, Jamaa kabadilika kabisa! hata sio ya kufumaniwa, sasa naweza kuamini
 
Hata kama mtu alikuwa bright kiasi gani,akilewa uccm anakuwa KASUKU. Nchemba siyo kijana ila anafanana na vijana.Kipimo cha mtu kuwa kijana kwanza ni kuwa shupavu na mwenye fikra huru,vitu ambavyo Nchumba hana. Lakini tusimlaumu sana,hizi degree-bamia siyo kigezo cha mtu kuwe liberated.Kwa vijana wa Magamba sioni yeyote mwenye japo kuwa kama Prof. Mwandosya, I mean kutokuropoka ovyo! Hizi siasa za kupatia umaarufu kupitia wake za watu Igunga,then kutomjali Dr.Ulimboka ambaye hakuwa na ugomvi nae kuna kitu nakumbuka.Siasa uchwara za ccm (Rostam Aziz,july 2011).Fisadi alikwepa kiaina ufungwa wa mawazo ndani ya ccm kisha akawaachia kina Nchumba
 
2015 lazima amwagike hapo ndipo mdomo wake utakapotiwa kufuli. Yana mwisho huu ni wakati wake wa kutamba.
 
Huyu kijana inaonekana amedanganywa na cheo cha ccm mpaka anakosa hata akili ndogo tu ya kuzaliwa isisyohitaji shule. Atnatia aibu mpaka anakera.
Leo bungeni kaihusisha CHADEMA na mgomo wa madaktari. Akitoa ushahidi wa hoja ya Stella Manyanya ya kuihusisha CHADEMA na mgomo wa madaktari, mwigulu alisema yafuatayo:
1. CHADEMA inahusika kwa vile katika hotuba yao wamesema wanaunga mkono wafanyakazi kupigania haki zao! Je, ccm haiungi mkono watu kupigania haki zao? Wapi hoja ya maana katika hili? Je, mwigulu huuungi mkono wafanyakazi na watanzania kwa ujumla kupigania haki zao?
2. CHADEMA inahusika maana inamjali Dr. Ulimboka kuliko mbunge wao wa Rombo alopata ajali! Mimi sijui ukweli ktk hili. Lkn hebu nihis ni kweli ili nijenge hoja hii. Je, mwigulu kama chadema haimjali mtu mmoja, isimjali yeyote? Kama hawakumjali huyo mmoja, hivo wasimjali yeyote. Kuna logic hapa? Does one wrong justify another? Eti wana JF, hapa kuna logic yoyote yakumfanya mtu mwenye akili kujenga hoja???? Au ndo wataka kuhalalisha mfumo wa sasa wakujuana na kulindana wa ccm? Mwigulu kumbuka pia kwamba vifo vitokanavyo na magonjwa au ajali au majanga ni tofauti na vifo vya kutengenezwa! Hivi vinakera zaidi, na mwanasiasa makini na mwenye akili lazima ahoji hivi. mwigulu mbona watuhaibisha vijana? Kama huna hoja kaa kimya kuliko kutia aibu hizi. Wana JF mshaurini gamba huyu kijana.

Mwigulu ni mpuuzi siku zote anajifanya ni mwenye upeo wa juu kumbe hakuna kitu na wadhifa wake feki wa katibu wa uchumi na mipango usio na matokeo kwenye chama cha majambazi bali geresha tu. Huyu jamaa hujifanya mzarendo kuwa na bendera ya taifa muda mwingi kumbe ni magumashi. Anachotakiwa Mwigulu kufanya kama yeye ni mzalendo ni kutatua mgogoro wa madaktari, kuacha kutembea na wake za watu wanachama wenzake, kwenda Jangwani na kutaja majina ya walioficha fedha bilioni 300, kufuatilia wale mafisadi wa EPA kama wamefungwa tayari, kuhakikisha mawaziri mafisadi waliofukuzwa kazi William Ngeleja, Mustapha Nkulo, Ezekiel Maige, DK Hamza Mponda na wengine wanafika mahakani kwa kesi za kuhujumu uchumi wa nchi na kisha waende jela. Sio kukaa anavaa skafu ya bendera ya taifa wakati anaibia nchi yeye na mafisadi wenzake aache hadaa za kitoto kutembea na skafu aonekane mzarendo kumbe mwizi mkubwa asiye na jipya wala faida kwa watanzania
 
Huyu kijana inaonekana amedanganywa na cheo cha ccm mpaka anakosa hata akili ndogo tu ya kuzaliwa isisyohitaji shule. Atnatia aibu mpaka anakera.
Leo bungeni kaihusisha CHADEMA na mgomo wa madaktari. Akitoa ushahidi wa hoja ya Stella Manyanya ya kuihusisha CHADEMA na mgomo wa madaktari, mwigulu alisema yafuatayo:
1. CHADEMA inahusika kwa vile katika hotuba yao wamesema wanaunga mkono wafanyakazi kupigania haki zao! Je, ccm haiungi mkono watu kupigania haki zao? Wapi hoja ya maana katika hili? Je, mwigulu huuungi mkono wafanyakazi na watanzania kwa ujumla kupigania haki zao?
2. CHADEMA inahusika maana inamjali Dr. Ulimboka kuliko mbunge wao wa Rombo alopata ajali! Mimi sijui ukweli ktk hili. Lkn hebu nihis ni kweli ili nijenge hoja hii. Je, mwigulu kama chadema haimjali mtu mmoja, isimjali yeyote? Kama hawakumjali huyo mmoja, hivo wasimjali yeyote. Kuna logic hapa? Does one wrong justify another? Eti wana JF, hapa kuna logic yoyote yakumfanya mtu mwenye akili kujenga hoja???? Au ndo wataka kuhalalisha mfumo wa sasa wakujuana na kulindana wa ccm? Mwigulu kumbuka pia kwamba vifo vitokanavyo na magonjwa au ajali au majanga ni tofauti na vifo vya kutengenezwa! Hivi vinakera zaidi, na mwanasiasa makini na mwenye akili lazima ahoji hivi. mwigulu mbona watuhaibisha vijana? Kama huna hoja kaa kimya kuliko kutia aibu hizi. Wana JF mshaurini gamba huyu kijana.
Great thinking! Shame on him! Ametoa hoja dhaifu sana . .
 
Kuna haja sasa ya vyama vya siasa kuwa na utaratibu wa kuwapeleka course ya muda mfupi wabunge wapya wanaochaguliwa ili wafundishwe kujenga hoja ili kuliondolea bunge sifa mbaya ya kuwa na wabunge wasiojua waongee nini. Ni aibu. Katika hali ya kawaida Prof. hawezi kwenda kwenye mjadala na kwenye panel kukawa na watu wa level tofauti na yeye kuanza kujigmaba mimi ni prof. bwana, kufanya hivyo atakuwa amepotoka na kuaminisha umma huenda hata hiyo elimu hakustahili na kwa maana hiyo haikumsaidia kustaarabika.

Kwa hiyo ni vizuri hawa fisrt class ambao, first class zimeshindwa kuwastaarabisha wakaenda kupata course ya ustaarabu na kama watashindwa basi waungane na wengine kuchapa usingizi ili kuondoa aibu ya kuropoka badala ya kujenga hoja.
 
Back
Top Bottom