Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,252
no, ni ndugu MboweChadema wamejipanga safi sana Mh.Mbowe
no, ni ndugu MboweChadema wamejipanga safi sana Mh.Mbowe
Agustino mrema amekataa, amesema hapana, hongera mzee wa kiraracha.
kipindi hiki kajipanga kama mfano wa kiongozi. Yeye ni mwenyekiti wa chama na waziri mkuu kivuli. Unategemea nini? Si ajabu hata makinda kumsifia kikao kileHuwez amin kwa mara ya kwanza leo ameongea mpinzani ukumbi mzima ulikua kimyaaa!. Hadi niliona kama muda wamempa mchache vile? Maana mpaka ye mwenyewe akatingisha kichwa alipoambiwa muda umekwisha.
Pamoja na uchakachuwaji lakini kuna watu huwa wanawapigia kura hawa kenge, na haya ndio matunda yake,......najivunia rekodi yangu tangu mwaka 1995 sijawahi kumpigia kura mgombea yoyote wa ccm kwa ngazi yoyote. hawa watu mimi nilishakosa imani nao muda mrefu tu.Yaani hoja ya posho ndo kwishney?. Siamin nadhan leo CCM watafanya sherehe. Dahh!!
Wabunge wengi wa CCM wanajua hawatarudi mjengoni 2015, hivyo sasa ni kukomba kila kitu sasa.
Wana njonzi za kwenda Chadema baada ya hapo. Je, watapokelewa?
Kuna suala la katiba mpya jamani, naona ndiyo muarobaini wa matatizo mengi tuliyu nayo.
Huyu Mbowe naye mnafiki! Kwanini hakukataa V8 alilopewa kama kiongozi wa upinzani? Kwanin bado anaendelea kupokea posho? Msimamo wa wa cdm kuhusu posho ni upi?