Bungeni Kunawaka Moto

Bungeni Kunawaka Moto

Muhagama kakimbia muongozo wa zitto, sbb aliomba muda mrefu hata kabla ya mhe. Sitta, cha kushangaza baada sita kumaliza vijembe, akafunga bunge. Ila h.kigwangala kwa kwel kilaza et kafananisha makusanyo ya kodi ya 2005 na 2010 bla kujua exchange rate ya dollar. N bora akaficha upumbavu wake cz kila cku wanamuumbua.

Jamaa atakuwa amekusoma sana hapa utaona ufafanuzi wake kwa WANABIDII. Duh hii kali.
 
Kagomewa Vibaya na kuna uwezekano mkubwa jioni wakaipotezea Live, tutasikiliza hata katika Radio, Ila update zitakuja kama kawaida hata kwa vyanzo vyetu vilivyopo mjengoni

kwa mh.zitto kaomba mwongozo upi?
 
nasubiri kipindi cha jion,natamani niwe naibeba tv pamoja na kingamuz niwe nakwenda navyo job,nakosa uhondo mie,na hiyo ijumaa wizara ya nishati naweza nisiende kazin,kaaz kwelikwel! magamba watajuta kuwa mjengoni.na kama mtu haamin mwulize mwakyembe anavyojisikia kuwa naibu wazir
 
Nadhani maandamano ya cdm baada ya bunge hili yakaanzie urambo kwa six wamchanechane kabisa ili akirudi bunge lingine awe amenyoka. Hii otamdhibitishia kuwa magamba hawatakiwi tena. Maaana sasa hivi bado anajifariji!
 
hizo ni kelele za wapumbavu wa CDM, hakuna lolote hapo. Mwisho wa maneno ni kwenye kupiga kura na hapo ndio mtajua nini maana ya kuwa na wabunge wachache.

CCM ndio dume lenu nyie.

kuna vitabu vingine vya dini vinasema upumbavu wa Mungu unazidi akili za mwanadamu. Sasa nakwambia upumbavu wa wapinzani inazidi akili ya serikali yetu ya taifa ili.
 
Edson, sote tunajua kuwa Sita sio kilaza. Tunafahamu uwezo wake wa kumudu mambo. Shida hapa ni moja kuwa ukiwa CCM ni lazima ukubali kuwa mnafiki. Ijumaa alipokuwa nanazungumzia muungano yeye kama kaimu kiongozi wa shughuli za serikali bungeni alisema: "Ninayoyasema siyo ninayoyaamini mimi kama mimi ila hii ndiyo historia. ..." Kwangu mimi, hapo alimaanisha anasema kwa vile yuko huko.
Mwangalieni mtoto wa mkulima alivyochuja ... Ni sababu ya kutaka kutetea mlo kwenye sahani. Ili hilo lifanikiwe ni lazima uwe mnafiki wa nafsi yako mwenyewe.

Kweli mwanangu Sitta si kilaza, we all know that, lakini kama ulivyonena ukiwa sisiem lazima uwe mnafiki wa kutisha ulinde hata upumbavu, kwa hasara ya vizazi vya sasa na vijamvyo.
Sitta anaropoka mpaka anaonekana hana darasa kichwani. Ati mbona walipokea posho kwa miaka mitano!!! "haya ndio maneno ya msomi" Kugundua kwamba unachofanya ni kosa na kulisema hadharani ni ishara ya hekima, lakini unapogundua kosa bado unakataa si kosa kwa sababu tu ya unafiki ni kufilisika, ni kuishiwa afadhali Sitta angekaa kimya.
Polepole Mheshimiwa Sitta anaanza anaanza kupoteza haiba mbele ya umma na sasa naamini kweli ni mmoja wa vinara walionza CCJ. Pole Mzee (hapana hustahili sifa ya mzee, wazee wana busara) sitta.
 
Akili za hawa Wabunge wa CCM ni sawa kabisa na miongoni mwa askari waingiapo Depo
 
Msihofu no sooner we will be there and the vote zitaamua.they hav to accept changes
 
hizo ni kelele za wapumbavu wa CDM, hakuna lolote hapo. Mwisho wa maneno ni kwenye kupiga kura na hapo ndio mtajua nini maana ya kuwa na wabunge wachache.

CCM ndio dume lenu nyie.
Tatizo CCM ni wanafiki kama ulivyo wewe, unatetea chakula chako na si Watanzania walio wengi, na wao wana haki katika nchi yao, Haki ya Kupata Matibabu, Elimu ,Maji na Mahali Bora pa Kulala.
 
Wapwaz. Nilikuwa porini najifunza mbinu za kuzuia UCHAKACHUAJI.

Bungeni ninachokiona ni mwenendo wa wabunge wa CCM kukubali liwalo na liwe lazima waweke maslahi ya chama kwanza ndipo nchi inafuatia. Ninafurahishwa namna ambavyo ccm wanajibu pumba kwa hoja za maana za upinzani. Wasidhani hii nchi ni ya kwao. Sisi RAIA ndio wenye nchi na tupo wengi kuliko risasi zao.

Pia kwa wabunge wote, sijaona mtu akitoa hoja binafsi kuhusu kupanda ghafla kwa gharama za maisha hasa bei ya mafuta ilihali duniani kote halio haipo hivyo.

Duh long kitambo kaka. karibu tena Jamvini!
 
Spika legelege huzaa bunge legelege na rais legelege huzaa serikali legelege!!!hakuna cha ajabu hapa,serikali ni legelege!!
 
nasubiri kipindi cha jion,natamani niwe naibeba tv pamoja na kingamuz niwe nakwenda navyo job,nakosa uhondo mie,na hiyo ijumaa wizara ya nishati naweza nisiende kazin,kaaz kwelikwel! magamba watajuta kuwa mjengoni.na kama mtu haamin mwulize mwakyembe anavyojisikia kuwa naibu wazir
jioni hawataruhusiwa kudai huo muongozo maana ulishapita wakati wake ila nachofikiria ni kuwa Jioni atakaposimama mbunge wa upinzani ayarudie maneno hayohayo kwa serikal kuwa ni ya KINAFIKI najua tu CCM wataamka kudai mwongozo kuwa kauli hyo ifutwe. Hapo ndipo mtiti utakapoanzia kwamba Tunamtaka Mh Sitta nae afute kauli yake ya asubuh kuwa WAPINZANI NI WANAFIKI la sivyo hakuna kufuta kauli.
 
Mh Sitta bonge la KILAZA, kama wana ubav mbona wamekimbia? Nilikuwa namuheshm Sitta lakin leo nimemuona PIMBI
ndg yangu amenikwaza alikuwa na maneno mengi ya kusema kuliko haya aliyoyasema leo.
 
Kaka unawatukana Chadema bila ya sababu unaona ukiwa na chuki unafanya mambo hovyo hovyo .Kafulila ni NCCR Mageuzi na si Chadema .CCM kweli akili zenu zimepinda

Mhurumie bure tu. Mambo haya yanachanganya na hasa mnapokuwa mnachezewa nusu uwanja mambo yakiwa yameelemea kwenu unaweza kujikuta mnajifunga goli wenyewe badala ya kuokoa.
 
si huyu kigwangala aliye waandamisha watu halafu kesho yake anasema maandamano ni kuvunja amani ?jamami nahofu na udoctor wake au kaupatia kwenye neti nn
 
mimi sijaelewa ni kauli ipi ya kufutwa hapo.
seerikali ya ccm ni legelege.
wapinzani ni wanafiki.
nisaidieni jamani kauli ya kuudhi inatakiwa isimwudhi nani?
 
sitta umeua kambi yenu 2015, lowasa sasa hivi anacheka ni mtaji tosha kwa rachel 2015
 
si huyu kigwangala aliye waandamisha watu halafu kesho yake anasema maandamano ni kuvunja amani ?jamami nahofu na udoctor wake au kaupatia kwenye neti nn

Itakuwa kwenye chupi! Sorry I meant to say kwenye Shule ya udaktari
 
Back
Top Bottom