Eshacky
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 965
- 244
Ana kiherehere kujenga hoja zisizo na mashiko, anachokikosea kikubwa anashobokea watu wanaojielewa km wa kina Lisu,mf. Leo Kafulila, anapagawa na makof ya magambas wenzie, ila mwishoni wanamuumbua na kuonekana km kihiyo. Mhe. HK n bora ukajinyamaziaga sbbu unatuahibisha vijana si una mcheck Makamba jr. Kajikalia zake kimya.