GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
Kafulila David katumia muda mwingi kuichana vema serikali kwa vigogo kupata matibabu nje ya nchi, huku Mh. Maige akijaribu kuelezea watoto wake walioko kijijini bila kutaja fungu na kuonekana hana hoja.
Kadandia treni kwa mbele Mh. Nagu naye kaangukia pua akijaribu kuonyesha kuwa watoto wake wanatibiwa muhimbili na si nje ya Nchi
Ametumia Lugha inayoudhi kwa kusema Serikali ya CCM ni legelege imeshwindwa kukusanya Kodi, wakati imeongeza makusanyo kutoka bilioni 70 hadi zaidi ya 190
Mwenyekiti anakitolea ufafanuzi kifungu kinachoelezea kuhusu kutoa Lugha inayoudhi
Mic nyingi zipo wazi na Wabunge wanapayuka kama kawaida yao ilivyojengeka siku hizi
Mhagama anamtaka Kafulila kutoa ufafanuzi kwa kauli ya kuudhi juu ya serikali Legelege
Kafulila anathibitisha kwa kunukuu kauli ya Baba wa Taifa
Kadandia treni kwa mbele Mh. Nagu naye kaangukia pua akijaribu kuonyesha kuwa watoto wake wanatibiwa muhimbili na si nje ya Nchi
Ametumia Lugha inayoudhi kwa kusema Serikali ya CCM ni legelege imeshwindwa kukusanya Kodi, wakati imeongeza makusanyo kutoka bilioni 70 hadi zaidi ya 190
Mwenyekiti anakitolea ufafanuzi kifungu kinachoelezea kuhusu kutoa Lugha inayoudhi
Mic nyingi zipo wazi na Wabunge wanapayuka kama kawaida yao ilivyojengeka siku hizi
Mhagama anamtaka Kafulila kutoa ufafanuzi kwa kauli ya kuudhi juu ya serikali Legelege
Kafulila anathibitisha kwa kunukuu kauli ya Baba wa Taifa