yegella
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,113
- 1,102
Fikra za kimasaburi hizi "Bunge livunjwe, Rais ajiuzulu na Waziri mkuu awajibishwe".... hawa wameshaambiwa atakayeendelea kugoma atakuwa amejifukuzisha kazi.... wewe analeta upupu hapa! Hivi unajua madhala ya haya unayotaka yatendeke?
fikra za kimasaburi zikoje..JE unaogopa matokeo ya kitakacho tokea kama haya yanayo hamasishwa yatatekelezwa.. basi mwambie jk aongoze nchi aache kuchekacheka