Umeona eeh? mi nawashangaa watu mithili ya mayuwayu! Hajatulia huyu!Hawa wabunge wangeni wakishapiga bangi na tembo hawajui hata wanachokisema. CCM OYEEEEEEEEEEEEEEEEEE.
Naunga mkono hoja.Wavaa vidani wamo humo,watoto wa mipasho,akina Sugu,akina Vicky,mashoga,wasagaji,akina Berlusconi nk.. Hapana,kweli bunge letu la wahuni,livunjwe.Hatuwezi kufika popote na watu hao.Huwa mimi najiuliza sana,hivi tumefikaje hapo?
Kweli bunge limejaa wahuni wengi sana! Sugu, Wenje, Lema na wengine
nahisi wewe ni mmoja wa washauri wa pindaFikra za kimasaburi hizi "Bunge livunjwe, Rais ajiuzulu na Waziri mkuu awajibishwe".... hawa wameshaambiwa atakayeendelea kugoma atakuwa amejifukuzisha kazi.... wewe analeta upupu hapa! Hivi unajua madhala ya haya unayotaka yatendeke?
nahisi wewe ni mmoja wa washauri wa pinda