mchakachuaji1
Senior Member
- Nov 4, 2010
- 104
- 7
Ni aibu kubwa sana kwa serikali kushindwa kushughulikia tatizo la madktari wetu kabla halijaleta madhara matokeo yake wamesubiri madhara ya mgomo ili waje na vitisho vya kipuuzi na vya kitoto. Hakuna daktari anayeogopa kufukuzwa kazi, daktari wa Tanzania hana tofauti na daktari wa india tofauti ni technolojia tu, mkiwafukuza mtakutana nao hospitali za nje mnapokwenda kutibiwa ukimwi wenu. Pumbavu zenu.