Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 945
Mkuu Mzee Mwanakijiji, kwanza asante kwa mada hii, pili naomba kukupa pole kwa sababu this time utashambuliwa sana na watu wa aina mbili, ignorantas wasiojua umuhimu wa utawala wa sheria, "the rule of law", wao wamehamanika na mjadala wa escrow tuu hata kama ni kinyume cha sheria!, hawa wasikuumize kichwa, ni kuwaelimisha tuu wataelimika, ila pia unaweza kupingwa na sisi baadhi yetu, ambao tunauelewa umuhimu wa utawala wa sheria, lakini tutalisupport bunge kuendelea na mjadala huu kwa sababu tunaelewa fika loop holes kwenye sheria zetu, hivyo wenye fedha na mafisadi, kuitumia mahakama kama kichaka cha kufucha maovu yao, dhidi ya Watanzania masikini ambao cannot afford hata their basic rights!.
Kwa muda mrefu sana nchi yetu imekuwa na tatizo kwenye kitu kinachoitwa "The Doctrine of Checks and Balances" and "Separation of Powers" kati ya mihimili hii mitatu ya dola, "The Legislature, The Executive and The Judiciary, ambavyo vyombo hivi vyote vitatu vinapaswa kuwa "huru bila kuingiliwa" "independence of its decisions" ili kila kimoja kiwe na nguvu zake chenyewe " powers" ambazo zimetenganishwa na kingine, "separations" ila pia vimepewa mamlaka ya kitu kinachoitwa "checks and balances" kama a watchdog of one another ili mihimili hii isivuke mamlaka yake, au ikitaka kuleta madhara, izuiliwe na one onother!.
Kwa vile suala hili la miingiliano ya mihimili hii, nimeisha wahi kulizungumzia sana humu, nafanya reference, ili nije na uzi mahsusi, ila uamuzi huu wa mahakama kuzuia escrow kujadiliwa na bunge, umekuja wakati muafaka kabisa, kwa sababu sasa ndio hii "The Doctrine of Checks and Balances" and "Separation of Powers" is put the real test against kitu kinachoitwa "public interest", kwamba maslahi yataifa yatawekwa mbele!, kwenye suala hili, naomba kutofatiana na wewe, kuwa ikibidi sheria kuvunjwa!, "for public interest", sheria na zivunjwe!, mahakama na idharauliwe!, "escrow ijadiliwe!"
Pasco.
Pasco, nadhani hapa umemaliza. The check and balance is a core of Katiba ya Tanzania. Japokuwa is not perfect lakini that is a core thread ya Katiba ya Jamuhuri.
Sasa kama tunataka kusema mahakama ina haki ya kukataza bunge lisifanye majadiliano ya aina yoyote, jee ipo wapi check and balance?