Bunge Lisionyeshwe LIVE - Wabunge!


Mkuu PakaJimmy,sio tu kulewa madaraka, hii ni dharau ya hali ya juu. Hivi wanayoyajadilli humo mjengoni ni ya nani? Kama ni sisi ndio tulowatuma basi waache upuuzi wao na kujadili bila kificho, lakini kama wanadhani walijipeleka wenyewe basi walete huoupuuzi wao halafu tutakutana kwenye boksi la kura 2015.
Mimi mwenyewe sipendi kuandamana lakini katika hili itabidi nimsapoti kimbunga. Kama noma na iwe noma bana.
 
Ha ha ha haa kwa hiyo hawataki tuone wanavyotuwakilisha? kazi ipo
 
Aiseee baba yangu kama hawataki 2waone hata wakija kuomba kura 2siwaone


namalizia mbege
nikalime
 
Mimi nadhani ndio lile dai la Naibu spika kuwa WABUNGE WENGI WANAINGIA BUNGENI WAKIWA WAMELEWA POMBE NA SIGARA KALI KALI.
This is too abnormal!

Hii na yenyewe ilikuwa kali. Wabunge wetu ni walevi na wanavuta sigara "KALI (Majaniiiiiii P. Funk hapa)". Nadhani ndicho alichokisema Spika.
 

Mkuu Nguruvi3 (Jina hili kwetu lina maana ya muumba) nimekubali sisi ndio waajiri wao.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo hoja haiendi kokote. Bunge kuonyeshwa kwenye live kwenye walikataa miaka ya 1990 lakini wakalazimika kwamba standard ya mabunge yote ni kuonyeshwa kwenye TV. Kama wabunge Tanzania hawataki basi wajiondoe kwenye international community kama North Korea.
 
mtume!! yallab tunusuru kabisa na hoja za wabunge tuliowachagua na kula zetu wenyewe, ikiwemo na kupoteza muda wa kupanga foleni na jua kali kwenye vituo vya kupiga kura, kulinda kura zisiibiwe na matokeo yake zikaibiwa. tulisitisha shughuri zetu za utafutaji kwenda kupiga kura na kura imekuwa kura kweli mana tulio wapigia wameshiba sasa wanaropoka ovyo ovyo yasiyotakiwa
kweli nimeamini shibe mwana malevya/kuropoka njaa mwana mkalimu. mana kipindi cha njaa wanakuwa wakalimu kuomba chakula tumewapa wameshiba hawatuthamini kweli shukrani ya punda ni mateke hakika M/mungu atawalaani wenye kufanya hiyo.
 
Itakuwa ishara ya maporomoko ya ccm ,narudia kuwakumbusha kuwa kizazi cha sasa ni makini na si cha mazezeta km wanavyofikiria,wajaribu waone
 
Kabla hawajatoa hizo kauli hao wabunge pamoja na Ndugai inaonekana walikuwa wamelewa na kupiga ile sigara ambayo siyo ya kawaida. Napendekeza TV zote na redio zote nchini zirushe moja kwa moja matangazo ya bunge ili wananchi wote waone bunge lao.
 

Mkuu futa kauli yako
unaamini kuwa tumewachagua
(tumewatuma au wanajituma )
 
Ujuwe hao hawakutumwa na wananchi, walijipeleka wenyewe kwa nguvu zao za pesa. Acha waendelee hivyo hivyo watupe hoja

 
Hoja hii itakuwa kati ya hoja za kipuuzi kuliko zote zilizowai kuwakilishwa bungeni.
 
Thanx mkuu, nimetafuta kitufe cha like cjakiona ila umemaliza mkuu wangu.
 
Hawa wabunge wanaopendekeza haya ni wale wanaolala bungeni. Sidhani kama hoja hii itapita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…