Spika wa Bunge amesema kuwa baadhi ya wabunge wanaandaa hoja ya kuzuia vipindi vya Bunge kuonyeshwa LIVE kwa wananchi!
Ninavyochukulia: Huku ni kulewa Madaraka!...Wanataka wachape usingizi bila kuhojiwa na wapiga kura hawa!
CHANZO: Gazeti la Mtanzania leo 13/08/2012
Spika wa Bunge amesema
kuwa baadhi ya wabunge wanaandaa hoja ya kuzuia vipindi vya Bunge
kuonyeshwa LIVE kwa wananchi!
Ninavyochukulia: Huku ni kulewa Madaraka!...Wanataka wachape
usingizi bila kuhojiwa na wapiga kura hawa!
CHANZO: Gazeti la Mtanzania leo 13/08/2012
Spika wa Bunge amesema kuwa baadhi ya wabunge wanaandaa hoja ya kuzuia vipindi vya Bunge kuonyeshwa LIVE kwa wananchi!
Ninavyochukulia: Huku ni kulewa Madaraka!...Wanataka wachape usingizi bila kuhojiwa na wapiga kura hawa!
CHANZO: Gazeti la Mtanzania leo 13/08/2012
Kwa sababu zipi za msingi mno zinazowafanya waamue kupitisha huo muswada,nafikiri wanapenda mno ule moto wa maandamano ya GESI ya Ntwara ulifikie bunge
Hiz n dalili kuwa wananch kuona bunge,lingehamasisha zaid watu sehemu mbalmbal za nch kudai haki zao.siamin kama kuna tatizo la kiufund kwan vyombo hiv vimekuwa vikirusha watangazo hata viwanja vya waz,njian,sasa iweje leo vishindwe?himaya inaanguka?
Hiz n dalili kuwa wananch kuona bunge,lingehamasisha zaid watu sehemu mbalmbal za nch kudai haki zao.siamin kama kuna tatizo la kiufund kwan vyombo hiv vimekuwa vikirusha watangazo hata viwanja vya waz,njian,sasa iweje leo vishindwe?himaya inaanguka.
Hiz n dalili kuwa wananch kuona bunge,lingehamasisha zaid watu sehemu mbalmbal za nch kudai haki zao.siamin kama kuna tatizo la kiufund kwan vyombo hiv vimekuwa vikirusha watangazo hata viwanja vya waz,njian,sasa iweje leo vishindwe?himaya inaanguka.
Spika anathubutu kupokea hoja za hovyo kama hii? Wakati huwa anakataa zile zenye kujali maslahi ya Taifa. Hii ni aibu kwa watawala lakini pia litakuwa ni pigo kwa ccm.
Stupid...!Nahisi hoja hii imetoka upande wa cdm
mkuu ni mimi hujakosea, huyu Lema kasababisha tukose kipindi cha Bunge live