Poor Tanzanian MP's mara hii mumesahau dhamana mliyopewa na wananchi kwamba mkawe wawakilishi wao huko Bungeni badala yake mnataka muabudiwe,vipindi vya bunge hamtaki wawakilishi wenu waangalie,mnataka muendelee kulala tu bila kuonekana kwa wapiga kura wenu,kumbukeni 2015 sio mbali kumbukeni mtarudi tena kuomba ridhaa ya kukaa humo ili mfanye uchafu wenu ambao hamtaki uonekane,Ni nini mnachokificha ambacho hamtaki kionekane? Mbona mnakuwa wachawi nyie? Mmeshasahau kwamba hayo madaraka mliyonayo ni dhamana sasa hivi mnayo lakini wengi2015 hamrudi kwa hiyo msijidanganye na hayo mnayotaka kuyaficha