Bunge lichunguze mkataba wa Tsh bilioni 65 ilioingia Tanesco na kampuni ya Wahindi kuna harufu ya wizi

Sukuma gang kazini nyie buku ngapi mnajua ? Jirani Cheng na zama nimepita......mngetulia tu Mpare heshima ndogo iliobakia hiyo vita ya keyboard hutaweza
Kwa ujinga huu sukuma gang inapotezaje heshima? Lambard kwa taarifa yako kwa maelezo mambo ni mazuri lkn kiuhalisia mambo ni mabaya sana,bei za bidhaa juu maji tatizo umeme tatizo miradi ya kimkakati yote ina dorola mama anakusanya genge la wahuni Kama wasaidizi wake,tunasubiri kishindo cha mwanguko.
 
Naunga mkono hoja.
Huo mkataba ni mbovu kwa sababu zifuatazo
1. Uwezo wa ndani wa kutengeneza system kama hiyo watakayotengeneza wahindi tunao.

2. Huo mkataba haujazongatia ishu ya sustainability kwamba tutaendelea milele na mile kuwategemea wahindi kwa ajili ya maintenance ya systemna hivyo Wahindi watatugeuza cash cow forever as long as hiyo system ipo in place.

3. Hilo dili linapeleka ajira kwa wahindi wakati kuna vijana humu nchini na kampuni za IT zinazoweza kufanya hiyo kazi

Tunalitaka Bunge na serikali isitishe mkataba huo mara moja, kuna huarufu ta UPGAJI kwenye huo mkataba
 
Kwa nini uongozi wote wa Tanesco ulifutwa kazi kuanzia Waziri Kalemani na Bodi yote na Mkurugenzi wake mkuu?!

Kwanini wakuu wa Idara wote walihamishiwa utumishi ili wapangiwe kazi zingine?!

Kwanini mara baada ya yote hayo kutendeka Tanesco kupitia safu mpya ya uongozi waliingia mkataba wa bilioni 65 Tsh kwa ghafla na kwa haraka isiyotarajiwa?!

Ni kweli mkataba ule wa mabilioni ya Tshs ulikuwa muhimu mno kuliko hizo pesa zingeelekezwa kwenye matumizi chanya ya kutatua changamoto lukuki zilikabiliao shirika hasa kwa kauli za Waziri husika kudai lipo tatizo la ukarabati wa miundombinu na zile fedha si zingeelekezwa kule?!

Kwa nini sasa huo mkataba na wahindi uingiwe ghafla namna ile na je Baraza la mawaziri lilitoa baraka za uingiwaji wake?!

Tunaomba Bunge letu liunde kamati maalum ya wabunge mahili kwenye kada hiyo ili iweze kuchunguza kwanza uhalali wa mkataba ule na nini faida zake.

Pia endapo ikabainika mkataba ule haukuwa na umuhimu wowote basi Bunge liiwajibishe Serikali kwalo.

Ndugai, kupitia uchunguzi wa Bunge kuhusu huo mkataba angalau kwa uchache wa imani wananchi wataanza kukuamini tena.
Tshs 65 bilioni inatosha kununua ndege ngapi kama za ATCL ?
 
Wabunge wenyewe kwa asilimia kubwa wameingizwa kiwizi Bungeni,watamjadili Mwizi gani.
 
Bunge lipi? Hili ambalo linapokea maagizo ya Ikulu? Tulieni. Mliyokuwa mnapitisha wabunge wa chama kimoja hakujua madhara yake sasa mkae kwa kutulia muibiwe mpaka akili ziwakae.

Mnapoambiwa nchi haipaswi kuongozwa kwa matamshi bali sheria na taasisi imara mlinifanya viziwi leo Magufuli hayupo tumerudi tulipotoka kwa sababu nchi haina taasisi imara zenye uwezo wa kusimamia maslahi ya taifa.

Ni kweli kuna ukakasi wa kiutaratibu na kikanuni kwenye huo mkataba kwasababu haiwezekani Waziri hata mwezi hana anaingia mkataba wa 69.3 billion kuboresha mfumo ambao hata hajawahi kufanya nao kazi, amejua lini mapungufu yake? Je amefuata mchakato wa manunuzi? Je hiyo hela ilikuwa kwenye budget na ilikuwa kwenye procurement plan ya Tanesco?
Mkataba wa magumashi
 
Samia asipokuwa makini ataingizwa mkenge na hao watoto wa mjini akina makamba, hawana uzalendo hata kidogo. Utawala wa huyu mama utakuwa wa kupigiwa kelele hata na wananchi wa chini kama ilivyokuwa kwa JK.Kuongoza nchi siyo mchezo akili za kuambiwa changanya na zako siyo kila kitu utoe kwa JK, ukishindwa tutakuona hufai wewe, huyo makamba wa nini?
 
Makamba January ni tatizo linalojitegemea, huyu mtu hafai hata kuwa balozi wa serikali ya mtaa wowote nchi hii, hana sifa ya kuwa kiongozi wa serikali ni vile tu wanaangalia kujuana.

Hiyo bodi aliteua members ambao wanajuana, mostly wakiwa marafiki zake, akiamini fika uwepo wao hautakuwa kikwazo kwake kwenye kufanya ujanja wake, huyu mtu anatafuta pesa za kuwa rais wa kubebwa.
Vipi aliyeweka katibu Mkuu wizara ya fedha mtoto wa dadake au umesahau..?
 
Kwa nini uongozi wote wa Tanesco ulifutwa kazi kuanzia Waziri Kalemani na Bodi yote na Mkurugenzi wake mkuu?!

Kwanini wakuu wa Idara wote walihamishiwa utumishi ili wapangiwe kazi zingine?!

Kwanini mara baada ya yote hayo kutendeka Tanesco kupitia safu mpya ya uongozi waliingia mkataba wa bilioni 65 Tsh kwa ghafla na kwa haraka isiyotarajiwa?!

Ni kweli mkataba ule wa mabilioni ya Tshs ulikuwa muhimu mno kuliko hizo pesa zingeelekezwa kwenye matumizi chanya ya kutatua changamoto lukuki zilikabiliao shirika hasa kwa kauli za Waziri husika kudai lipo tatizo la ukarabati wa miundombinu na zile fedha si zingeelekezwa kule?!

Kwa nini sasa huo mkataba na wahindi uingiwe ghafla namna ile na je Baraza la mawaziri lilitoa baraka za uingiwaji wake?!

Tunaomba Bunge letu liunde kamati maalum ya wabunge mahili kwenye kada hiyo ili iweze kuchunguza kwanza uhalali wa mkataba ule na nini faida zake.

Pia endapo ikabainika mkataba ule haukuwa na umuhimu wowote basi Bunge liiwajibishe Serikali kwalo.

Ndugai, kupitia uchunguzi wa Bunge kuhusu huo mkataba angalau kwa uchache wa imani wananchi wataanza kukuamini tena.

FF73C52E-954F-4A55-9270-BE74BB10C187.jpeg
 
Samia asipokuwa makini ataingizwa mkenge na hao watoto wa mjini akina makamba, hawana uzalendo hata kidogo. Utawala wa huyu mama utakuwa wa kupigiwa kelele hata na wananchi wa chini kama ilivyokuwa kwa JK.Kuongoza nchi siyo mchezo akili za kuambiwa changanya na zako siyo kila kitu utoe kwa JK, ukishindwa tutakuona hufai wewe, huyo makamba wa nini?
Samia amefanya kazi na Makamba anamjua vizuri pengine kuliko wewe na mimi
 
Wakat wa JPM uongoz wote wa tanesco ulifutwa kuanzia board, mkurugenz na management je uamuzi ulichungunzwa?
Magufuli alichunguzwa alivyojenga uwanja wa ndege Chato na tenda ya ujenzi kupewa Mayanga Construction, kampuni ya mtu waliyeoa nyumba moja!
 
Mliokuja dar 2015 mna shida sana
Ungekuwepo kariakoo ikiwa inajengwa mngesemaje ..?
Mtu alikuwa Magufuli tu katika hii nchi. Pamoja na mapungufu yake yote,lakini alikuwa na uchungu. Usingeweza kukuta vitu vya ajabu ajabu namna hiyo. Ghafla nchi imebadirika upigaji umekuwa live live sasa
 
Wanahangaika sana eti ndio wanataka kubadili upepo Rais awaangukie wanachekesha
Sukuma gang kazini nyie buku ngapi mnajua ? Jirani Cheng na zama nimepita......mngetulia tu Mpare heshima ndogo iliobakia hiyo vita ya keyboard hutaweza
 
Huyo ndio alikuwa fisadi kuu, midege amenunua fedha hazijaizinishwa na bunge, hili tu wapige ten percent, hakuna mkataba hata mmoja kipindi Cha mwendazake ambao ulikuwa wazi au vinginevyo,Tena ukijitia kuhoji umekwisha,

Kipindi Cha Samia mambo mengi anaweka wazi, akikopa fedha nje anatueleza wananchi, mwendazake yeye alikuwa anakopa fedha kwa aliowaita mabeberu,halafu misukule yake anaidanganya kuwa anatumia fedha za ndani,

Mwendazake Kama angefankiwa kumaliza vipindi vyote viwili, Nchi ingekuwa na Deni hata la trillion 200,

SAMIA Ni best president ,na ataifikisha Nchi mbali Sana kimaendeleo, nyie misukule ya mwendazake dawa yenu ipo jikoni!!
Ngoja tuwape muda,wakati utaongea.
 
Kwa nini uongozi wote wa Tanesco ulifutwa kazi kuanzia Waziri Kalemani na Bodi yote na Mkurugenzi wake mkuu?!

Kwanini wakuu wa Idara wote walihamishiwa utumishi ili wapangiwe kazi zingine?!

Kwanini mara baada ya yote hayo kutendeka Tanesco kupitia safu mpya ya uongozi waliingia mkataba wa bilioni 65 Tsh kwa ghafla na kwa haraka isiyotarajiwa?!

Ni kweli mkataba ule wa mabilioni ya Tshs ulikuwa muhimu mno kuliko hizo pesa zingeelekezwa kwenye matumizi chanya ya kutatua changamoto lukuki zilikabiliao shirika hasa kwa kauli za Waziri husika kudai lipo tatizo la ukarabati wa miundombinu na zile fedha si zingeelekezwa kule?!

Kwa nini sasa huo mkataba na wahindi uingiwe ghafla namna ile na je Baraza la mawaziri lilitoa baraka za uingiwaji wake?!

Tunaomba Bunge letu liunde kamati maalum ya wabunge mahili kwenye kada hiyo ili iweze kuchunguza kwanza uhalali wa mkataba ule na nini faida zake.

Pia endapo ikabainika mkataba ule haukuwa na umuhimu wowote basi Bunge liiwajibishe Serikali kwalo.

Ndugai, kupitia uchunguzi wa Bunge kuhusu huo mkataba angalau kwa uchache wa imani wananchi wataanza kukuamini tena.
Vipi?
Wamemwaga mboga?
Tetesi zipo kuwa huu mradi ulikuwepo siku nyingi, tenda zilishatangazwa na wahindi ndio walioshinda.
Kama kuna harufu ya ufisadi ilianza lini?
 
Back
Top Bottom