Bunge lichunguze mkataba wa Tsh bilioni 65 ilioingia Tanesco na kampuni ya Wahindi kuna harufu ya wizi

Mliokuja dar 2015 mna shida sana
Ungekuwepo kariakoo ikiwa inajengwa mngesemaje ..?
Kwa hiyo kariakoo ulijenga wewe mwaka gani?. Bahati mbaya niko kijijini kabisa. Sina mpango wa kuhamia kariakoo. Kama uko dar kiongozi usijiite mwanaume
 
Kwa nini uongozi wote wa Tanesco ulifutwa kazi kuanzia Waziri Kalemani na Bodi yote na Mkurugenzi wake mkuu?!

Kwanini wakuu wa Idara wote walihamishiwa utumishi ili wapangiwe kazi zingine?!

Kwanini mara baada ya yote hayo kutendeka Tanesco kupitia safu mpya ya uongozi waliingia mkataba wa bilioni 65 Tsh kwa ghafla na kwa haraka isiyotarajiwa?!

Ni kweli mkataba ule wa mabilioni ya Tshs ulikuwa muhimu mno kuliko hizo pesa zingeelekezwa kwenye matumizi chanya ya kutatua changamoto lukuki zilikabiliao shirika hasa kwa kauli za Waziri husika kudai lipo tatizo la ukarabati wa miundombinu na zile fedha si zingeelekezwa kule?!

Kwa nini sasa huo mkataba na wahindi uingiwe ghafla namna ile na je Baraza la mawaziri lilitoa baraka za uingiwaji wake?!

Tunaomba Bunge letu liunde kamati maalum ya wabunge mahili kwenye kada hiyo ili iweze kuchunguza kwanza uhalali wa mkataba ule na nini faida zake.

Pia endapo ikabainika mkataba ule haukuwa na umuhimu wowote basi Bunge liiwajibishe Serikali kwalo.

Ndugai, kupitia uchunguzi wa Bunge kuhusu huo mkataba angalau kwa uchache wa imani wananchi wataanza kukuamini tena.
unazungumzia bunge lipi? kama ni hili la mazuzu wa kijan endelea na shughuli zako mkuu
 
Kwa nini uongozi wote wa Tanesco ulifutwa kazi kuanzia Waziri Kalemani na Bodi yote na Mkurugenzi wake mkuu?!

Kwanini wakuu wa Idara wote walihamishiwa utumishi ili wapangiwe kazi zingine?!

Kwanini mara baada ya yote hayo kutendeka Tanesco kupitia safu mpya ya uongozi waliingia mkataba wa bilioni 65 Tsh kwa ghafla na kwa haraka isiyotarajiwa?!

Ni kweli mkataba ule wa mabilioni ya Tshs ulikuwa muhimu mno kuliko hizo pesa zingeelekezwa kwenye matumizi chanya ya kutatua changamoto lukuki zilikabiliao shirika hasa kwa kauli za Waziri husika kudai lipo tatizo la ukarabati wa miundombinu na zile fedha si zingeelekezwa kule?!

Kwa nini sasa huo mkataba na wahindi uingiwe ghafla namna ile na je Baraza la mawaziri lilitoa baraka za uingiwaji wake?!

Tunaomba Bunge letu liunde kamati maalum ya wabunge mahili kwenye kada hiyo ili iweze kuchunguza kwanza uhalali wa mkataba ule na nini faida zake.

Pia endapo ikabainika mkataba ule haukuwa na umuhimu wowote basi Bunge liiwajibishe Serikali kwalo.

Ndugai, kupitia uchunguzi wa Bunge kuhusu huo mkataba angalau kwa uchache wa imani wananchi wataanza kukuamini tena.
Bunge si chochote kwasasa
 
Nchi huliwa na wenye meno, vibogoyo watapata tabu sana.
 
Back
Top Bottom