Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,042
Kwa hiyo kariakoo ulijenga wewe mwaka gani?. Bahati mbaya niko kijijini kabisa. Sina mpango wa kuhamia kariakoo. Kama uko dar kiongozi usijiite mwanaumeMliokuja dar 2015 mna shida sana
Ungekuwepo kariakoo ikiwa inajengwa mngesemaje ..?