johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,114
Mbunge wa viti maalumu mh Conjesta amemtaka Waziri wa Fedha kuacha kuwapunguzia Malengo ya Makusanyo ya Ushuru Halmashauri mbalimbali kwani Tabia hiyo inatengeneza Taifa Maskini na tegemezi
Conjesta amesema kwa mfano Manispaa ya Temeke ilijipangia Kukusanya tsh bilioni 60 lakini Wizara ya Fedha ikawaambia Wakusanye tsh 42 bilioni
Wizara ikadai kwa mujibu wa rates za IMF Manispaa ya Temeke wanapaswa Kukusanya tsh bilioni 42
Hapo ndio Wizi na Ufisadi unapoanza, amesisitiza
Source: Bunge Tv
Conjesta amesema kwa mfano Manispaa ya Temeke ilijipangia Kukusanya tsh bilioni 60 lakini Wizara ya Fedha ikawaambia Wakusanye tsh 42 bilioni
Wizara ikadai kwa mujibu wa rates za IMF Manispaa ya Temeke wanapaswa Kukusanya tsh bilioni 42
Hapo ndio Wizi na Ufisadi unapoanza, amesisitiza
Source: Bunge Tv