utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Wabunge endeleeni na kazi, msiwasikilize hawa waropokaji mitandaoni
Mkuu naona siku hizi umebadikika sana kwenye comment zako
Kuna cheif WHIP - Mh Jenista na Katibu wa wabunge wa CCM Mh. Rwekiza hao walitakiwa kufanya kitu kabla ya kupitisha azimio lileNdicho tulichosema tangu seke seke la Assad lianze
Unafanyaje maamuzi makubwa ya kuja na Azimio bila ya Kibali cha Kamati ya Wabunge wa Chama?
Kuna Mtu atasulubiwa vya kutosha bila ya Shaka
Wakirudi Bungeni Wabunge waelezwe kujikita kwenye Mjadala sio kejeli kwa CAG
Watachakazwa sanaNa wabunge wa upinzani wanaruhusiwa kukutana na mwenyekiti wao MBOWE...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni unamtoa kwa kifungu gani cha katiba!Kama wana akili wasifanye zengwe lolote la kumtoa Prof Assad wakubali wamemechemka kurudi nyuma siyo ujinga
Wakuu Bunge limehairishwa muda Huu. Kuna Kikao cha Dharura cha Wabunge wa CCM na Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Dr John Pombe Joseph Magufuli. Stay Tuned
Kuna maoni nimeyaona BBC Facebook; yana ukakasi sana kwa CCMbunge limeahirishwa saa 4.45 kisa wabunge wa CCM wanakwenda kukutana na Mkt wa chama Dk Magufuli kumbuka kuwa wabunge Leo watajilipa posho zaidi ya mil 90 pesa za walipa kodi watanzania ili hali wanafanya kazi za chama. Haya ni matumizi mabovu ya Pesa zetu.
Haiwezekani wabunge Leo waone vikao vya maslahi ya taifa tena kikao cha Bajeti cha taifa hakina maana yoyote ila kikao cha chama ndio kina maana sana, Leo wabunge wao watajilipa posho bila kuifanyia kazi yoyote,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nani kazungumzia kosa? Kilichoulizwa kama ni busara kutelekeza kazi za wananchi na badala yake kufanya kazi za chama. Shughuli za bunge ni za kitaifa kwa ujumla ni zaidi ya shughuli za chma kimojawapo tu cha siasa.Kwani ni kosa kuahirisha bunge?wabaki hao vivuli wenu waendelee na kikao
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu Bunge limehairishwa muda Huu. Kuna Kikao cha Dharura cha Wabunge wa CCM na Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Dr John Pombe Joseph Magufuli. Stay Tuned
Ibara ya 144 na vipengele vyake vyote.