johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,934
- 141,903
Bunge kwa kauli moja limepitisha azimio la kumpongeza Rais Magufuli kwa mbinu alizotumia na uongozi alioutoa hadi kufanikiwa kutokomeza ugonjwa hatari wa Corona.
Bunge limesema Dunia sasa inaitazama Tanzania kama nchi ya kuipigia mfano na kuiga mbinu za kutokomeza ugonjwa wa Corona.
Chanzo: Star tv habari!
Maendeleo hayana vyama!
Bunge limesema Dunia sasa inaitazama Tanzania kama nchi ya kuipigia mfano na kuiga mbinu za kutokomeza ugonjwa wa Corona.
Chanzo: Star tv habari!
Maendeleo hayana vyama!