Bunge lapitisha azimio kumpongeza Rais Magufuli kwa mbinu alizotumia kuitokomeza Covid 19

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,479
141,189
Bunge kwa kauli moja limepitisha azimio la kumpongeza Rais Magufuli kwa mbinu alizotumia na uongozi alioutoa hadi kufanikiwa kutokomeza ugonjwa hatari wa Corona.

Bunge limesema Dunia sasa inaitazama Tanzania kama nchi ya kuipigia mfano na kuiga mbinu za kutokomeza ugonjwa wa Corona.

Chanzo: Star tv habari!

Maendeleo hayana vyama!
 
Bunge kwa kauli moja limepitisha azimio la kumpongeza Rais Magufuli kwa mbinu alizotumia na uongozi alioutoa hadi kufanikiwa kutokomeza ugonjwa hatari wa Corona.

Bunge limesema Dunia sasa inaitazama Tanzania kama nchi ya kuipigia mfano na kuiga mbinu za kutokomeza ugonjwa wa Corona.

Chanzo: Star tv habari!

Maendeleo hayana vyama!
Nasikia na Bunrundi walikuwa wanapanga kumpongeza wa kwao kwa kuishinda corona... sasa imemuondoa kwa ukaidi wake! Masikini mke wake anapambania maisha yake. Mungu amsaidie masikini apone angalau watoto wabaki na mama
 
Nasikia na Bunrundi walikuwa wanapanga kumpongeza wa kwao kwa kuishinda corona... sasa imemuondoa kwa ukaidi wake! Masikini mke wake anapambania maisha yake. Mungu amsaidie masikini apone angalau watoto wabaki na mama
Bwashee hapa hatuizungumzii Burundi!
 
Amesha tweet kwa niaba ya taifa kwa msiba wa aliyekuwa raisi wa Burundi?

Huyo hapo ..

IMG-20200609-WA0065.jpg
 
Bunge kwa kauli moja limepitisha azimio la kumpongeza Rais Magufuli kwa mbinu alizotumia na uongozi alioutoa hadi kufanikiwa kutokomeza ugonjwa hatari wa Corona.

Bunge limesema Dunia sasa inaitazama Tanzania kama nchi ya kuipigia mfano na kuiga mbinu za kutokomeza ugonjwa wa Corona.

Chanzo: Star tv habari!

Maendeleo hayana vyama!
Wote viazi
 
Back
Top Bottom