Bunge la Ulaya lituletee azimio la kulaani vifo wakati wa ukoloni Tanzania

Bunge la Ulaya lituletee azimio la kulaani vifo wakati wa ukoloni Tanzania

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,198
Tanzania inahitaji fidia kutoka kwa mabeberu yaliyochota mali na kuchukua watu utumwani.

Hii ni sambamba na kutoa idadi kamili ya maafa yaani waliouawa kwa mijeledi na kunyongwa nyakati za ukoloni
 
Tanzania inahitaji fidia kutoka kwa mabeberu yaliyochota mali na kuchukua watu utumwani.
hii ni sambamba na kutoa idadi kamili ya maafa yaani waliouawa kwa mijeledi na kunyongwa nyakati za ukoloni
Hii nchi kuja kubadilisha ni ngumu sana
Mazuzu mengi sana 😡

Ndo Nini hiki umeandika

Misaada Yao TU ya miaka 60 mnaweza kurudisha

Sasa ulishaona waingireza waliua raia yao
 
Kwanza tumalize hili ambalo limetokea wote tukiwa Hai kabla hatujaanza hilo jingine....

Pia haipaswi tusubiri kuletewa hili la ndani inabidi sisi kama jamii na walio na mamlaka waweze kuwajibishwa na wengine kujiwajibisha
 
Hivi akili zako zipo sawa kweli wee pimbi kiazi bogus pumpikin head

Umepewa uhuru bila kumwaga damu
Unapewa misaada bure mpk ndomu unapewa free madawa n.k
Unakopeshwa kwa masharti nafuu

Wakina abdul hiyo misaada na mikopo ya wazungu wananunulia ma bugatti na ma v8

Leo unataka fidia gani?
Wazungu ndo waliua raia 10k+ 29oct?
 
Hivi huko CCM hakuna mtu mwenye kustuka kuwa mnaoitetea mitandaoni mnaiaibisha?


EU (European Union) ilianzishwa mwaka gani kwani... Na wakoloni walimuua nani kwa kumbukumbu zako.

Na hapa unatakiwa uwataje waingereza pekee!
 
Hivi akili zako zipo sawa kweli wee pimbi kiazi bogus pumpikin head

Umepewa uhuru bila kumwaga damu
Unapewa misaada bure mpk ndomu unapewa free madawa n.k
Unakopeshwa kwa masharti nafuu

Wakina abdul hiyo misaada na mikopo ya wazungu wananunulia ma bugatti na ma v8

Leo unataka fidia gani?
Wazungu ndo waliua raia 10k+ 29oct?
Ni raia watanganyika wangapi walitwezwa utu wao na kufa ili kuwaneemesha mabeberu?Bunge la ulaya litupe majibu
 
Hivi huko CCM hakuna mtu mwenye kustuka kuwa mnaoitetea mitandaoni mnaiaibisha?


EU (European Union) ilianzishwa mwaka gani kwani... Na wakoloni walimuua nani kwa kumbukumbu zako.

Na hapa unatakiwa uwataje waingereza pekee!
Wewe umeingia JF Lini?
nyie ndio mliingia na lile genge la mabadiliko lowassa,Hebu tulia mada za kikubwa zikiwa zinajadiliwa
 
Ni raia watanganyika wangapi walitwezwa utu wao na kufa ili kuwaneemesha mabeberu?Bunge la ulaya litupe majibu
So kwa kuwa wao walifanya hivyo ndo kunawapa uhalali wa kuua na kuteka watanganyika? Unataka kumaanisha bado tupo utumwani?
 
Hiyo maana umeileta wewe mimi mada yangu ipo wazi na imeenda moja kwa moja kwe hoja
So kwa kuwa wao walifanya hivyo ndo kunawapa uhalali wa kuua na kuteka watanganyika? Unataka kumaanisha bado tupo utumwani?
 
Tanzania inahitaji fidia kutoka kwa mabeberu yaliyochota mali na kuchukua watu utumwani.

hii ni sambamba na kutoa idadi kamili ya maafa yaani waliouawa kwa mijeledi na kunyongwa nyakati za ukoloni
Hivi wabongo walichukuliwa utumwani na nani na wslipelekwa wapi hasa?!
Tip top na ndugu zake wanahusika kwa hili au wao wasiguswe kwanza?!
 
Tanzania inahitaji fidia kutoka kwa mabeberu yaliyochota mali na kuchukua watu utumwani.

hii ni sambamba na kutoa idadi kamili ya maafa yaani waliouawa kwa mijeledi na kunyongwa nyakati za ukoloni
Oman iwe ya kwanza kulipa. Walikuwa vinara wa kuuza ndugu zetu
 
Ndugu zangu Watanzania, naombeni niwaulize kidogo, ni wapi tunashindwa kujibu hoja za upande wa pili na badala yake tunaanza kuibua hoja ambazo hazipo kwenye mada. Ni kweli tulikwenda shule tukaelimika au tulikua watoro. Nimelileta hili kwa sababu naona watu badala ya kujibu hoja zilizopo mezani sasa tumekua mabingwa wa kuibua hoja mpya kwa kiwango cha PHD
 
mnabidi kusahau na kusonga mbele ,

Africa is cursed continent

Jay z anasema ukiwa unamfata MTU nyuma yake lazima upotee

Hata mtoto ukiwa unatembea mkiwa hampo katika sehemu zenye magari you hv to walk fst than ur kids

Hii itamfanya awe na broader vision ya kuilewa njia vizuri next time hata ukimtuma hatoweza kupotea


Mpaka sasa almost miaka 50-60 bado tunawaganda wazungu na kuwafata fata nyuma .


Wameleta demokrasia mnauana
Wameleta dini mnachukiana
Wameleta shule mnazidi kuwa vilaza

Mnabidi msiwafate fate wazungu alot Mothe-rfuckers. will never understand this
 
naunga mkono hoja, arabs watulipe fidia kwa kutuuza utumwa na kubebeshwa pembe za ndovu caravan ktk bara hadi pwani kwa mguu na mijredi juu …
 
Back
Top Bottom