Heparin
JF-Expert Member
- Sep 24, 2021
- 448
- 3,359
Bunge la Ulaya limeitaka Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya kusitisha msaada kwa serikali ya Tanzania na kuwawekea vikwazo wahusika wa ukandamizaji uliofanywa baada ya uchaguzi mkuu. Wabunge wa Ulaya wamelaani vikali vitendo hivyo na kutaka kuachiwa kwa wapinzani waliokamatwa.
Wamesisitiza kuwa mauaji, majeruhi na taarifa za makaburi ya halaiki baada ya uchaguzi wa 2025 ni ushahidi wa ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Wametaka pia kuachiliwa kwa mwanasiasa Tundu Lissu mara moja na bila masharti. Azimio kuhusu Tanzania limepitishwa bila kupingwa kwa kura 539.
Pia soma > Bunge la Ulaya lapitisha maazimio 9 kwa Tanzania. Lakata misaada na kutangaza Uchaguzi haukuwa huru na haki. Waliohusika na ukiukwaji kuwekewa vikwazo
Wamesisitiza kuwa mauaji, majeruhi na taarifa za makaburi ya halaiki baada ya uchaguzi wa 2025 ni ushahidi wa ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Wametaka pia kuachiliwa kwa mwanasiasa Tundu Lissu mara moja na bila masharti. Azimio kuhusu Tanzania limepitishwa bila kupingwa kwa kura 539.
Pia soma > Bunge la Ulaya lapitisha maazimio 9 kwa Tanzania. Lakata misaada na kutangaza Uchaguzi haukuwa huru na haki. Waliohusika na ukiukwaji kuwekewa vikwazo