CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
muongozo wa spika!!!!!!!!
Mh Spika,naomba kuelezea masikitiko yangu,hasa pale juzi baada ya Mkiti wa Bunge lako tukuka,alisikika akisema muda hautoshi hivyo nikashindwa kutumia haki yangu kikatiba kutambulisha familia yangu...
Sasa Mh Spika,naomba kikao hiki kiitambue familia yangu pale juu kwenye gallery... Pale kuna mpendwa bibi yangu mzaa mama,na kuna babu yangu mzaa baba,na kuna mjomba wangu mzaa mjukuu wake na shangazi wa pili wa mama mdogo anayefuata akiwa wa pili kuzaliwa kwa binamu yangu aliyefanikisha kampeni hata nikawa mbunge wa jimbo langu tukuka...
Mh Spika ,naomba kutoa hoja...
teh teh teh!mh spika,kabla ya kuwakilisha ningependa kukupongeza kwa kazi nzuri ya kuliongoza bunge lako kwa nidhani ya hali ya juu,ebu muangalie mh Gabmanu asivyokua na uhadilifu,hv hata vitabu vya dini asomi?ngoja nimkumbushe aya ya biblia(kila mtu atakula kwa jasho lake)teh teh teh!
naomba kuwakilisha hoja ya kuahirisha bunge mpaka kesho saa 3.00am
Wah. Wabunge kikao kinarejea tunaendelea pale tulipoishia jana, kwako mh. Liverpool