Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,403
Bunge la Tanzania leo linaendelea na shughuli zake katika Mkutano wa 19, Kikao cha 40 ambapo baadhi ya shughuli ni kupitisha maazimio mawili
Azimio la kwanza ni Kuitaka Serikali kutobadili Uamuzi wa Jiji la Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi na Shughuli za Serikali
Azimio la pili ni Kumpongeza Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai kwa mafanikio ya Bunge la 11
Azimio la kwanza la kuitaka Serikali kutobadili uamuzi wa Jiji la Dodoma kuwa Makao Makuu linakuja wakati ambao tayari shughuli nyingi za Serikali zimehamia Dodoma. Rais na Wizara zote tayari zimehamia Jijini Dodoma
Azimio la kwanza ni Kuitaka Serikali kutobadili Uamuzi wa Jiji la Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi na Shughuli za Serikali
Azimio la pili ni Kumpongeza Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai kwa mafanikio ya Bunge la 11
Azimio la kwanza la kuitaka Serikali kutobadili uamuzi wa Jiji la Dodoma kuwa Makao Makuu linakuja wakati ambao tayari shughuli nyingi za Serikali zimehamia Dodoma. Rais na Wizara zote tayari zimehamia Jijini Dodoma