Hakuna azimio lolote lenye maana hapo
Nakumbuka Upinzani iliposema hakukuwa na sheria ya kuhamishia makao makuu Dodoma. Tena kwa kudai sheria itungwe na bujeti iwekwe - wakaambiwa wanapinga. Leo tunataka kufanya azimio la kutorejesha makao makuu ya serikali Dar!! Sijui tafsiri yake ni nini kama sio azimio hili ndio litachukuliwa sheria ya kuhamisha makao makuu!!
Mambo ya maana yanakosa hata kujadiliwa - tunakuja na azimio la kupongeza!!