Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 4,408
- 6,642
- Thread starter
- #121
Ndio mkuuMkuu upo Dar eeenh!?
Ndio mkuuMkuu upo Dar eeenh!?
KweliJamani bundi ni ndege kama ndege wengine sema tu sisi tunaamini kila kinacho zurula usiku kina mahusiano Na ushirikina ndomana watu wanaogopo popo au milio ya paka dume Na jike wakikutana
#Tubadilike
Ndio maanaNdio mkuu
Kwa hiyo una maana jirani yangu atakufa. Maana mpapai upo karibu zaidi na nyumba yake japo ni wa kwangu.
Basi tena...wanaume wa Dar ndo wanaogopa ndegeNdio mkuu
Kama ni ivo basi wangekuwa wengi sana hospitalBundi hula wafu na mizoga na anauwezo wa kunusa mizogo na wafu waliopo kwa umbali mrefu. Watu humuhusisha kuwa anaeza tabiri kunamtu atakufa karibuni endapo atakuja nyumban kwako kulia kwani anauwezo wa kunusa kiumbe ambacho baadh ya sehem zake zimekufa kutokana na maradh hali itakayompelekea mgonjwa kufarik karibuni au asilimia ndogo sana kupona kama atapata matibabu stahiki. Ila hana madhara yoyote unaeza ukaenda mfukuza tu ni viumbe kama vile kunguru.
Au jiulize hapo mtaan nan mgonjwa kama hamna bas kuna msiba gan au kuna mzoga gan labda upo?
Sina mgonjwa labda jirani yangu anayeNdani kwako una mgonjwa?
Sawa mkuu. Ushawahi kumsikia Bundi analia lakini?Hofu zako tu.....huyo anawinda panya....
Una mapapai hayajaiva badoKata huo mpapai