Bukoba: Waziri Kagasheki asoma maoni ya wana JF jukwaani, adai ni uongo!

Mkuu Kanga, hivi inaingia akilini kwamba Mh.Khamisi anaweza kumfitini Mayor ili iweje - amunyanganye Umeya wake? Amfitinishe mtu aliye msaidia kuomba uraia (kama ni kweli) it just doesn't add up - in my opinion. Mtu huitaji shahada ya sayansi ya roketi kujuwa kinacho endelea HAPA - "kulyangana nke nsenene" badala ya kushirikiana, mkoa unarudi nyuma kimaendeleo na watu tunazidi kuwa masikini wa kutupwa!!!

Kitu kingine hata kama wabunge awahudhurii vikao vya maamuzi labda kwa kutingwa na kazi nyingi, kwa nini hawapatiwi minutes za mkutako ili waji-update kwa kile kilicho endelea ndani ya vikao - kuna haja gani ya kutokuwa transparent kwa kile kinacho endelea ndani ya vikao! Why should everything be shrouded in secrecy specifically inapokuja kwenye mambo ya MIKATABA?

Hivi nani mwenye mamlaka/mahamuzi ya mwisho: Mkurugenzi wa Manispaa au Mayor? Nafikili Mh.Khamisi ana uzoefu mkubwa katika nyanja za uongozi na usimamizi wa projects hata za kwake mwenyewe i.e handon experience, sasa kwa nini watu waone ajabu anapotaka ku-zero in kwa Mayor badala ya Mkurugenzi wa Manispaa ili apate kilicho jili kwenye mikataba, oh yes apate taarifa from horse's mouth siyo kwamba anapambana naye au sijuhi kumshabulia, kwani kuna tatizo gani Mayor kuambiwa atoe maelezo kuhusu mikataba?? Kumbuka Mh.Khamis amewahi kufanya kazi Wizara ya mambo ya ndani kama naibu wa waziri, wewe unajuwa alikuwa ana inside information gani za kuaminika kuhusu mikataba yenyewe? Msiangalie mambo kijuu juu tu au kusukumwa na mambo ya partisianship.
Bukyanagandi upande mmoja wa shilingi usioujua ni kwamba vita ya watu hawa wawili na wale ambao ukisikiliza kwenye hotuba ya Kagasheki akiwataja bila kusema majina yao sio hayo anayojaribu kushawashi watu wayakubali bali, Ni makovu ya uchaguzi wa CCM Kagera uliokwisha juzi ambao yeye Kagasheki ametumia pesa zake kuingiza nduguze madarakani na kuhakikisha watu fulani fulani hawachaguliwi kwa namna yoyote ile! Wala vita hii iliyopo kwa taarifa yako sio ya meya tu bali kuna kundi kubwa la wana ccm wanao msubiri huyu mbunge nje ya fence 2015.

Tunaofahamu siri hii tunajua shida ndio hiyo na hizo nyingine ni blah blah za kihuni za kupakana matope.

Kwanza kwenye uwanja huo huo mwaka huu huu yeye huyo huyo Kagasheki alikuwa akiwabeza wafanya biashara wale wale kuwa wapende wasipende soko hilo lazima livunjwe na lijengwe la kisasa maana manispaa yahitaji maendeleo.

Hivi unaweza kujiuliza kwa nini anasema soko haliwezi kuvunjwa mpaka baada ya 2015??? sikiliza vizuri hotuba yake. Jamaa ni mjanja sana huyu!
 
Tena hapo alikuwa akihutubia kwa Kihaya,Mheshimiwa Nshomile Kagasheki,baba alikuwa balozi ,mtoto naye alikuwa balozi hadi Uwaziri,hajui shida huyo ,anachojua ni kutaka kusifiwa tu,akina Dully wako wengi
 
Bukyanagandi upande mmoja wa shilingi usioujua ni kwamba vita ya watu hawa wawili na wale ambao ukisikiliza kwenye hotuba ya Kagasheki akiwataja bila kusema majina yao sio hayo anayojaribu kushawashi watu wayakubali bali, Ni makovu ya uchaguzi wa CCM Kagera uliokwisha juzi ambao yeye Kagasheki ametumia pesa zake kuingiza nduguze madarakani na kuhakikisha watu fulani fulani hawachaguliwi kwa namna yoyote ile! Wala vita hii iliyopo kwa taarifa yako sio ya meya tu bali kuna kundi kubwa la wana ccm wanao msubiri huyu mbunge nje ya fence 2015.

Tunaofahamu siri hii tunajua shida ndio hiyo na hizo nyingine ni blah blah za kihuni za kupakana matope.

Kwanza kwenye uwanja huo huo mwaka huu huu yeye huyo huyo Kagasheki alikuwa akiwabeza wafanya biashara wale wale kuwa wapende wasipende soko hilo lazima livunjwe na lijengwe la kisasa maana manispaa yahitaji maendeleo.

Hivi unaweza kujiuliza kwa nini anasema soko haliwezi kuvunjwa mpaka baada ya 2015??? sikiliza vizuri hotuba yake. Jamaa ni mjanja sana huyu!

Mkuu Kaa la Moto, thanks 4 the info - actually unayo yasema ndio nimemaliza kuyasoma kwenye makala fulani - sijuhi nikwambie nini mkuu, nimechanganyikiwa kabisa! Mji wa Bukoba umeigiliwa na pepo GANI - MUGASHA, KAZOBA, ILUNGU, WAMALA au KAIYURANKUBA!!!

Baada ya kuelewa sakata zima, nimeachwa njia panda - inaonekana almost kila kitu ni vurugu tupu, kwa mawazo yangu Serikali inapaswa kuingilia sakata hili zima kabla mambo hayajaharibika zaidi, there's something seriously wrong katika mfumo mzima wa set up ya manispaa na wadau WAKUU - wasitishe mambo ya viwanja wachunguze nini kilikuwa kinaendelea behid the scene! Mambo mengine yanayo husu siasa yatajirekebisha yenyewe kadiri muda unavyo kwenda, wenye mahamuzi ya mwisho ni wapiga kura.

Mwezi miwili hivi iliyo pita niliwahi kuona Tangazo la viwanja vinavyo huzwa na manispaa, kitu kilicho nishangaza ni kuona wanahuza viwanja Nshambya, Igombe, Mugeza, Ijuganyondo, Kawaya/Maiga, Kibeta/Kitendaguro nk nilishangaa sana nikajiuliza hivi si vijiji sasa watu wanao ishi humo watahamishiwa wapi na kwa nini wahamishwe in the first place - hivi Wahaya wote wamehamua kuhamia mjini? kasi hii ya upimaji viwanja inatokana na nini - hela za mkopo? kuwahuzia wageni viwanja? Ujanja wa kufuja fedha kwa miradi hewa? hakuna manispaa yoyote Tanzania ambayo imekuwa na kasi ya ajabu ya upimaji viwanja na kutaka kuwahamisha watu kutoka kwenye vijiji vyao vya asili! Kwani kwao Uganda wanafanya vitu vya ajabu kama hivyo? Nilikuwa nafatilia majibu jibu yake humu, we mtu atasemaje mahamuzi kama hayo si lazima awashirikishe wabunge, au mkopo ni wa SIRI! hizi ni kauli za namna gani - jeuri hii anaipata wapi?

Looking back now naona Mh.Khamis aliteleza kidogo kumlea Bwana Amani mpaka kumpigia debe la kuwa Meya hii itatu-cost sana, hii mipango ya Meya yakutaka mji wa Bukoba ukue kama uyoga unatia shaka sana - mipago yake hiko too good to be true!! Hata ROMA hakujengwa ndani ya siku moja, itakuwa Bukoba bwana!!

Kama kutoelewana kwa watu muhimu kwenye jimbo/manispaa kunatokana na mambo ya makundi, basi kuendelea kwa mji wa Bukoba kutabaki kama ndoto za Alinacha. Nashukuru sana Kaa la MOTO.
 
hapa la kupinga maamuzi ya manispaa ya bukoba hadharani wakati naye ni mjumbe katika full council nu uzushi wa wabongo. manispaa inaongozwa na madiwani wa ccm sasa na mipango yote imepitishwa katika vikao na madiwani hao hao haya kumchonga amani na kupinga kuboeshwa kwa soko na kupima viwanja yanatoka wapi? au naye amegeuka amekuwa upinzani. nahisi huko manispaa balozi yuko peke yake au na wapambe woga wachahe. soko halivunjwi january 15, je likivunjwa januari 16. hapa mzee umechemka
 
Bukyanagandi amini usiamini si kweli kwamba jamaa hakuwa anajua yanayoendelea. Na si kweli kwamba viwanja vilipimwa kwenye mashamba ya watu! huu ni uongo. Viwanja vilipimwa kwenye maeneo ambayo kule Bukoba wanaita "NYEYA" sasa sijui niseme ni nini kwa kiswahili. My poor swahili! Na kama unavyojua hata hizo nyeya kwa Buhaya zinakuwa katika miliki na zingine zilikuwa na miti ndani.

Jambo nililopinga hata mie ni namna zoezi lote lilivyofanyika hasa kwenye compesation. Watu walilipwa kidogo sana wakati viwanja vilikuwa vinauzwa bei mbaya sana. Huo ni ukweli unaouma, lakini hata hivyo hakuna ambacho Kagasheki hakuwa hajui. Alielewa kila hatua na kila kitu kilichoendelea..... Na ingawa sina hakika sio ajabu hata yeye ni mmoja wa wanunuzi wa viwanja vile.

Ninachomuona kwamba bwana huyu ana play double standard ni kujifanya alikuwa hajui! Hii ndio inathibitisha kuwa hatuna viongozi. Yaani ni kama vile ambavyo Lowasa alicheza na mkataba alafu Kikwete aseme hakuwa anajua kinachoendelea. Kama utakumbuka kwa suala la Lowasa wala Kikwete hakuwahi kutamka hadharani kwamba alikuwa hajui maana anajua ukweli kwamba alikuwa anajua! Na ndio sababu hawezi wapeleka mahakamani maana anawalinda kwa sababu hiyo!

Hivi tunavyozungumza hata baraza la madiwani ambazo asilimia 90 ni ccm wako divided katika makundi mawili. Liko kundi linalokubaliana na Kagasheki na liko lililo nyuma ya Meya Amani.

Tena kwa upande wangu ninafurahi kidogo kwa hali hii kumpata Amani maana baada ya uchaguzi ule wa 2010 katika kutafuta meya wa manispaa hii ni huyo huyo Kagasheki aliye play role kubwa sana kuhakikisha kwamba Luangisa hapati umeya wa manispaa hii. Mbinu zake ilikuwa ni pamoja na kutumia pesa nyingi sana, kuhakikisha madiwani wanalishwa sumu dhidi ya Luangisa, kuhakikisha uchaguzi unafanyikia mbali na pale mjini Bukoba na ni yeye aliyehakikisha Amani ndiye anakuwa Meya. Asante kwa sababu yeye mwenyewe kakili kwamba juhudi zake za kumuingiza amani madarakani zilimzalishia uadui na mzee Luangisa katika hotuba hii. Sasa yanayompata Amani ni yale yale aliyokuwa akikenua na kushangilia wakati anafanyiwa Luangisa. Sasa na yeye analambishwa shubiri ile ile. LOL. Thibitisho kwamba jamaa ahaminiki.

Narudia. Shida nzima iko kwenye uchaguzi uliopita ambao ndio umezalisha makundi ya ki ccm hapa na Kagasheki hawezi kujivua lawama. Kuna kundi kubwa kule uraiani (ndani ya ccm) ambalo halikuridhishwa na jinsi yeye Kagasheki alivyojiingiza kwa siri katika uchaguzi ule ili wasishinde uchaguzi. Na hao ndio walio na bifu naye na sasa anajaribu kujinyofoa kwa kusukuma kesi hiyo kwa mlango mwingine kwa wananchi.. Huyu jamaa ni janja sana. Ngoja tuone mapambano haya na wana ccm wenzie yataishia wapi! Vita ya Panzi furaha ya..........?????
 
Tumshukuru kwa kuwaambia watanzania hata wasiojua kuwa kuna JF inayowatoa roho.Wanaongeza publicity kwa watu huk mikoani ambao pengine kwa internet zaidi ya kusoma email kupitia hotmail.com na kutafuta scolarship hakuna kingine.sasa hwa watu wanawezajua JF kuliko hata kuijua yahoo na gmail na skypes.
Kama alivyofanya Msekwa wakati anatoa sababu za kupungua kura za JK. Akaipaisha JF
 
Mkuu hivi Dr.Amani anatoka kijiji gani, Kagondo/Katoma, Burifani Kyaka au Minziro? Wakulahumiwa ni madiwani walio mchagua mtu ambaye uraia wake una utata, kama alipewa urai kihalali basi hasipewe Key Post, hawezi kuwa commited na Taifa letu 100% tuna msemo "EMBEHO TEYEBWA OWABO" tangu nisikie hizi ngojera za ujenzi wa soko la munispaa ya Bukoba miaka imepita sana bila ujenzi wowote, malumbano tu yasiyo kwisha - nakwambia hata kama wangefanikiwa kupata wakandarasi/wajenzi jamaa ange enda kutafuta ndugu zake Uganda kuwapa contract, tusije tukijidanganya HAPA!

Wazungu wana msemo "Action speaks VOLUME" kama anaweza kuwa na guts za kumgeuzia kibao KISIBANTE aliye msadia kupata Uraia (kama ni kweli), mtu mwenye traits kama hizo za kuwa kigeu geu unaweza kujuwa kesho atafanya nini? Tunawezaje kumpa mkoba wa kuendeleza mji wa BUKOBA kwa mtu ambaye anapendelea kuendeleza turmoil zaidi kuliko maendeleo ya kweli! - no wonder kuna vurugu tupu na malumbano, hana cha kupoteza.

Niliambiwa kuna diwani mmoja kutoka kijijini kwetu ni staunch supporter wa Meya huyu, nikirudi nyumbani mtafunga mikononi kamba ya mnazi awaeleze wana kijiji udiwani wake umesaidiaje kuendeleza munispaa ya Bukoba.

Kwa nini suala hili la ujenzi wa SOKO wasitafutwe raia/wafanyabiashara wenye uchungu wa kweli kuhusu maendeleo ya munispaa, likawekwa jopo la ku-mobilize watu wakatoa michango na kutafuta wafadhili, mbona wako wengi tu. Ningeshauri jopo hilo lisimamiwe na Mh. BUBA - nendeni mji wa MOSHI mkajifunze jinsi ya ku-run miji, kuna umuhimu mkubwa wa kuondokana na soko lililo jengwa enzi za Wajerumani.
Hebu jamani nikumbusheni JESHI LA UHAMIAJI kazi yake ni nini vile make Usalama wz Taifa ni jeshi lla Usalama wa CCM
 
Hebu jamani nikumbusheni JESHI LA UHAMIAJI kazi yake ni nini vile make Usalama wz Taifa ni jeshi lla Usalama wa CCM

Mkulu sina cha kusema, maanake sakata zima lina fanana na mtu anaye angahika kutafuta sindano ya kushonea nguo iliyo tumbukia/potelea kwenye haystack (ekinyegezi - rudo la nyasi za kulisha ng'ombe).
 
Mkuu Kaa la Moto, thanks 4 the info - actually unayo yasema ndio nimemaliza kuyasoma kwenye makala fulani - sijuhi nikwambie nini mkuu, nimechanganyikiwa kabisa! Mji wa Bukoba umeigiliwa na pepo GANI - MUGASHA, KAZOBA, ILUNGU, WAMALA au KAIYURANKUBA!!!

Baada ya kuelewa sakata zima, nimeachwa njia panda - inaonekana almost kila kitu ni vurugu tupu, kwa mawazo yangu Serikali inapaswa kuingilia sakata hili zima kabla mambo hayajaharibika zaidi, there's something seriously wrong katika mfumo mzima wa set up ya manispaa na wadau WAKUU - wasitishe mambo ya viwanja wachunguze nini kilikuwa kinaendelea behid the scene! Mambo mengine yanayo husu siasa yatajirekebisha yenyewe kadiri muda unavyo kwenda, wenye mahamuzi ya mwisho ni wapiga kura.

Mwezi miwili hivi iliyo pita niliwahi kuona Tangazo la viwanja vinavyo huzwa na manispaa, kitu kilicho nishangaza ni kuona wanahuza viwanja Nshambya, Igombe, Mugeza, Ijuganyondo, Kawaya/Maiga, Kibeta/Kitendaguro nk nilishangaa sana nikajiuliza hivi si vijiji sasa watu wanao ishi humo watahamishiwa wapi na kwa nini wahamishwe in the first place - hivi Wahaya wote wamehamua kuhamia mjini? kasi hii ya upimaji viwanja inatokana na nini - hela za mkopo? kuwahuzia wageni viwanja? Ujanja wa kufuja fedha kwa miradi hewa? hakuna manispaa yoyote Tanzania ambayo imekuwa na kasi ya ajabu ya upimaji viwanja na kutaka kuwahamisha watu kutoka kwenye vijiji vyao vya asili! Kwani kwao Uganda wanafanya vitu vya ajabu kama hivyo? Nilikuwa nafatilia majibu jibu yake humu, we mtu atasemaje mahamuzi kama hayo si lazima awashirikishe wabunge, au mkopo ni wa SIRI! hizi ni kauli za namna gani - jeuri hii anaipata wapi?

Looking back now naona Mh.Khamis aliteleza kidogo kumlea Bwana Amani mpaka kumpigia debe la kuwa Meya hii itatu-cost sana, hii mipango ya Meya yakutaka mji wa Bukoba ukue kama uyoga unatia shaka sana - mipago yake hiko too good to be true!! Hata ROMA hakujengwa ndani ya siku moja, itakuwa Bukoba bwana!!

Kama kutoelewana kwa watu muhimu kwenye jimbo/manispaa kunatokana na mambo ya makundi, basi kuendelea kwa mji wa Bukoba kutabaki kama ndoto za Alinacha. Nashukuru sana Kaa la MOTO.
Bukyanagandi nimeona katika maandishi yako una fitina za wazi na Mayor Amani na watu wasio wenyeji wa Bukoba "WANYAMAHANGA".Rekebisha mtazamo wako na kama unampigia upatu KAGASHEK amekwisha kuwa Shetani kwa maendeleo ya wana bukoba.Taasisi ya UTT ya serikali haiwezi kutoa fedha zake kwenye miradi hewa ndugu wewe na Kagasheki na mnajua watendaji wakuu wake ni wataalamu Ndg Hamis Kibola akiwa CEO.Hapo hamna kitu Kagasheki anaogopa kivuli chake mwenyewe na pamoja na kuanza kampeni mapema na kuweza kuweka ndg zake kwenye uongozi wa ccm Wilaya maji ya shingo ni yakwake akipona kuanguka kwa ccm huko nguvu ya umma itamsambaratisha mapema sana
 
Last edited by a moderator:
Uh kwa vyovyote wamekumbwa na kiwewe. Hakuna haja ya kutoka mapofu mengi na kurukaruka kama jinamizi mzee mzima akiimba nyimbo za KAGASHEKI sema kwa mambo ya kawaida. Hiyo mikataba anayoiongelea Kagasheki ndo mikataba hiyo hiyo imeuza meno ya tembo huko Hong Kong. Anasisitiza mikataba iwe wazi wakati wanyama na hadi leo mbuga ya Lolyondo chini ya wizara anayoiongoza yeye haiko wazi...! Huu naona mi ni unafiki maana waziri hawezi kusisitiza 'transparency' katika jimbo lake wakati anayodhamana ya kusisitiza 'transparency' katika nchi. Pili kumshambulia Amani hata angekuwa amekosea si lazima kuja jukwaani maana angeweza kufanyia huko huko kwenye 'full council' ambayo yeye anasema haiamini na wakati huo huo hajajiuzuru anaendelea kufanya kazi katika kitu asichokiamini na hizo ndo sifa za MNAFIKUNI. Na mwisho kama kweli anapenda nchi hii asihangaike na Amani wakati mapapa yanashinda yanafanya mambo ndivyo sivyo kama kusafirisha shehena za meno ya tembo na bado hatujamsikia akifanya kitu.
Yeye alikuwa naibu waziri wa mambo ya ndani kama Amani alipata uraia wakati wake si kwa sababu alimsaidia bali kwa sababu alitimiza majukumu yake kama raia. Na bado nashangaa kwa nini msajili hajakifutia usajili CCM maana chama kinacholeta wasio raia kuwa watawala katika nchi yetu watu hao kama members kimewatoa wapi wakati members ni Tanzania bara na visiwani (sharti ya kusajiliwa). Sasa hiki kimeonesha kuwa kilisajili hadi Uganda na kinaendelea kusajili hadi Somalia (Bashe na Kinana) kilishasajili Irani (Rostam Azizi) na sasa hatujui kitasajili DRC au Malawi na msajili anaangalia tu!
 
Bukyanagandi nimeona katika maandishi yako una fitina za wazi na Mayor Amani na watu wasio wenyeji wa Bukoba "WANYAMAHANGA".Rekebisha mtazamo wako na kama unampigia upatu KAGASHEK amekwisha kuwa Shetani kwa maendeleo ya wana bukoba.Taasisi ya UTT ya serikali haiwezi kutoa fedha zake kwenye miradi hewa ndugu wewe na Kagasheki na mnajua watendaji wakuu wake ni wataalamu Ndg Hamis Kibola akiwa CEO.Hapo hamna kitu Kagasheki anaogopa kivuli chake mwenyewe na pamoja na kuanza kampeni mapema na kuweza kuweka ndg zake kwenye uongozi wa ccm Wilaya maji ya shingo ni yakwake akipona kuanguka kwa ccm huko nguvu ya umma itamsambaratisha mapema sana

Mkuu Kanga MIND your tongue!!! I think you have gone too far - Usifikili hatujuhi kutimia lugha za kishezi za mitaani, huwe na adabu ya kuheshimu binadamu wenzako wenye mtazamo tofauti na wa kwako – huko huru kusema chochote lakini huna haki ya kunihita "SHETANI" you can't even see beyond your nose, your analytical mind is equivalent to a TODDLER'S ndio maana hutafakali mambo kwa kina kabla ujasema!!

Eti taasisi ya UTT, kwani ni mara ngapi tunasikia taasisi kama hizi hizi ambazo zinatoa fedha kwa nia nzuri alafu baadae wanajikuta mambo yanakwenda ndio sivyo – yaani mambo yaliyo kuwa yanaonekana ni "GOOD ON PAPERS" ukija kucheck baadae kwenye ground unakutana na mambo mengine tofauti kabisa! Unaweza kuwa na wataalamu wazuri tu kama ndugu H.Kibola lakini kumbuka wanasiasa/employer ndio wenye finial say (labda nikihulize swali: Nani kashikilia mpi -Mtaalamu au Meya?) – mimi worries zangu kuhusu suala zima la utendaji wa manispaa zilikuwa raised kutona na kauli ya Waziri Kagasheki – that was a wake up CALL kwa upande wangu sijuhi wewe/nyie, ndio maana nakuja juu kutokana na kauli ya Waziri, si rahisi Waziri kusema mambo ya longolongo, kuna kitu pale; lakini cha ajabu wengine sijuhi kwa kutojua au kwa kujifanya: They don't seem to be overly worried na kinacho endelea ndani ya manispaa!! Wanaonekana wazi wazi kuwa hawaja digest kauli ya Waziri ndio maana wana-resort kwenye matusi na name calling, na mabo ya itikadi!!!

Chukulia mfano mtu kama wewe - unashindwa kabisa ku-emulate ndugu Kaa la Moto, ambaye yuko level headed na ni mstaarabu, anajua vizuri kueleza mambo kwa ufasaha – angalia post zake alizo kuwa ananijibu kuhusu kinacho endelea kuhusu suala zima, sasa linganisha na majibu ya kwako ambayo yako haywire kabisa, yaani tofauti kati yenu ni kama mbingu na dunia hata kama mna msimamo sawa sawa.

Wewe kama kweli una uchungu wa kweli wa maendeleo ya mji wa Bukoba kwa nini hukushtuka wakati Mh.Barozi Kagasheki alipo tamka adhalani (MKUTANONI) kwamba hawezi ku-support mambo ya kifisadi yanayo endelea kwenye manispaa ya mji wa Bukoba – mpaka Waziri afikie hatua ya kutamka kitu kama hicho wewe unaona ni business as usual i.e kwako hicho ni kitu cha kawaida anamuonea Mstahiki Meya na wenzake!! Kama ungekuwa na uchungu na mji wa Bukoba na Taifa letu kwa jumla mgemwambia Mstahaiki Meya asitelemke kutoka jukwaani au aitwe jukwaani ajitetee, lakini kitendo cha nyinyi na Meya kukaa kimya kweye shutuma nzito kama zile kinashiria nini? – Waziri wetu Mkuu Mh.Pinda katika ziara zake mikoani akisikia manung'uniko anamuhita muhusika jukwaani atoe maelezo kwa wananchi wamsikilize, nyie kwenu hilo alikufanyika badala yake mnajenga hoja za kutaka ku-water down suala zima badala ya kulivaria njuga suala hili mpaka kieleweke, mnafanya vitu tofauti kabisa!! Wewe in particular unahanza kutukana WATU ambao huwajuhi vizuri!! Nikigeuzia kibao hapa utajuta kuzaliwa: Malezi yako yana walakini SANA, kuna post hapa uliwasema vibaya wazee wa mjini Bukoba eti wana ganga njaa na kushinda wanakunywa kahawa wakipika majungu na Mh.Barozi Kagasheki!!! We unajua wazee hao waliwahi kutoa mchango gani katika ujenzi wa TAIFA letu? Eti sipendi maendeleo ya wana Bukoba! Nisipende maendeleo ya wana Bukoba kwani mimi nilizaliwa wapi? sijuhi una tatizo gani - nilikujibu na kueleza mengi kuhusu jitihada zangu za kusaidia maendeleo ya huko, nakaeleza mambo mengi lakini hiyo ukujibu, unakuja kujingiza kwenye post ambayo siku-address wewe - uanjisemea tu, mimi sina ushabeki wa vyama bwana, tafakali mambo siyo kufikilia mambo ya uchaguzi tu masaa yote.

Mkuu mimi siwezi kunyamazia vitu ambavyo vinaonekana vina walakani eti niogope kuitwa ……, kuna haja gani ya mimi kumfitinisha Meya, kwanza sijawahi kukutana naye wala sura yake sihijui, pili mama yangu mzazi asili yake ni Buganda najua mpaka kuzungumza kiganda ingawa si kwa ufasaha sana, sikuoa kabila langu, watoto wangu hakuna hata mmoja anaelewa au kuzungumza Kihaya, watu wengi wakiniona sura yangu wala hawawezi kujuwa kama mimi ni Mhaya wananijua nikianza kuzungumza Kiswahili kutokana na lafudhi yangu. Sasa hii hoja yako ya kusema siwapendi Wanyamahanga inalandana kivipi na hulka yangu binafsi.

Mambo mengine yakunisema eti niko kwenye payroll ya Mh.Barozi Kagasheki, naona hilo ntakujibu kwa kina baadae – ila nataka nikukumbushe kwamba mimi sikuzaliwa na kukulia kwenye umasikini, pili sina njaa; tatu husipo jirekebisha TIRADE zako ambazo unazitoa kama unguided missile I will technically track u down mpaka kwenye k/board yako ili nikukabithi kwa watu wa usalama(Polisi) kwa kutukana watu ovyo mtandaoni, don't underrate my resolve utapatikana tu hata ukiwa behind impregnable DMZ/Fwall, unatumia static/dyanamicIP, hata ukibadirisha NIC yako ili MAC address hiwe tofauti, chukua hata computer lukuki au ukienda kwenye internet café yoyote Tanzania, mobile phone, utapatikana tu labda usifunge kwenye mtandao. Nakujua mambo ya IT unayaelewa; nakupa ushauri wa bure: amend your behaviour - the soonest the better, CHEERS.
 
Wale wale tuu ajui akifanyacho tusha wazoea badala ya kutoa hoja za maendeleo ni kupingana na jf na chadema!


Sent from my BlackBerry 9360 using Jamie's
 
Back
Top Bottom