KAUDO
Senior Member
- Aug 10, 2011
- 138
- 67
Mkutano wa jana mjini Bukoba waziri Kagasheki pamoja na mambo mengine aliutumia kuishambulia JF kuwa inamwandika uongo.
Alisoma pia baadhi ya maoni ya wachangiaji Kuwa yeye ndiye alimchongea Meya wa Bukoba Dk. Anatory Aman na hata kapata nafasi hiyo, kwamba alikuwa raia wa Uganda ila wakati alipokuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani alimsaidia kupata uraia wa TZ. Haya yote yalimwagwa hadharani mbele ya wananchi uwanja wa Mayunga.
Kagasheki amemwaga mboga tunasubiri atakayemwaga ugali.
Kagasheki akishuka jukwaani baada ya kuhutubia
Alisoma pia baadhi ya maoni ya wachangiaji Kuwa yeye ndiye alimchongea Meya wa Bukoba Dk. Anatory Aman na hata kapata nafasi hiyo, kwamba alikuwa raia wa Uganda ila wakati alipokuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani alimsaidia kupata uraia wa TZ. Haya yote yalimwagwa hadharani mbele ya wananchi uwanja wa Mayunga.
Kagasheki amemwaga mboga tunasubiri atakayemwaga ugali.
Kagasheki akishuka jukwaani baada ya kuhutubia