Mtoto wa tembo
Senior Member
- Oct 4, 2012
- 198
- 30
Mkuu unamaana yule Jamaa tokea Mogadishu
ndie huyohuyo,hata akiwa kwenye ndege ikipita maeneo ya serengeti tembo huwa wanatoka nduki balaa....
Mkuu unamaana yule Jamaa tokea Mogadishu
Wanabodi. JF sio ya porojo na udaku mkija JF njooni na data na facts za kutosha. Mnaona sasa Kagasheki kawapa za uso.
Video ya hotuba hii hapaSafi sana Kagasheki umewatoa nishai wambea wa JF hawana cha kusema tena wamebakia kung'aa sharubu.