Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Tembea ht vijiji vya moshi.
Rombo
Kilema
Mwika
Marangu
Tarakea
Machame
Boma
Sanya
Sadala
Hizo vijiji huwezi fananisha na bukoba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Boss umesoma kichwa cha uzi? Bukoba imetoka wapi? Hivi hakuna discussion ya Moshi bila Bukoba?? Hebu kuweni na akili mpya basi mnajidhalilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kuna haja ya kufananisha na Bukoba? Mbona kama akili yenu imegandia Kagera? Wahaya waliwabaka?? Mbona kila siku wao?? Nadhani ni wakati wenu wa kujipima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefanya maksudi maana nyie huwa mnapenda kujifanya eti mna ubavu wa kupimana na moshi ,kwahiyo nimefanya maksudi kuwaumbua hata ule Uzi wa bilion 7 za vunjo nimewaumbua mmebaki na aibu mm huwa napenda kuumbua wanaojidai kumbe hawana kitu
Bukoba lèvel yake ni mamlaka ya mji mdogo wa ushirombo sio jiji tarajiwa la la Moshi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom