We jamaa mbona unawatia aibu wachaga wenzio. Hii Moshi ni kitukoSawa bwana mdogo
Umeshinda.....
Ngoja sisi tuendelee kuburudika......
Maana unabishania mambo ambayo watu wa Kilimanjaro wameshafanya miaka Zaidi ya hamsini iliyopita ndio maana unaona watu wanakushangaa.....
Wewe kwenu Songea Luna nini cha Maana. Fungua uzi wa kulinganisha songea na Lindi mjiniDaah hapa kwenye chakula au sehemu ya kula Bk a.k.a Burkina Faso nilichoka aiseee unadhurura mji mzima hupati sehem ya chakula
Kweli kabisa mkuu, kipindi kile serikali ilikuwa inaogopa kuleta maendeleo kwa sababu ya Fitina za serikali. Lakini sasa ivi ndio watatujua na sasa ivi tunawapanga vijana wetu wawe katika kujiajiri na Kuitumia elimu katika maswala ya ujasilia Mali. Tunawapanga katika kuwa katika system za ajira ambazo sio tegemezi kutoka serikaliniwahaya ni taifa kubwa isipokuwa ccm na nyerere ndo kikwazo, lakini wanahistoria husema historia hujirudia IPO Siku wahaya watarudi kwenye peak
hapa n wilaya ya rombo eneo linaitwa mamseraWe jamaa mbona unawatia aibu wachaga wenzio. Hii Moshi ni kituko
hapa n wilaya ya rombo eneo linaitwa mamsera
pamechangamka sana hii picha imepigwa kijieneo cha pemben
piga pich halisi
mamsera pana soko LA ndizi na mbuzi,pana mzunguko mkubwa wa hela,pia pana ukumbi mkubwa wa mikutano uitwao Samaria hall,na pana jengo LA kncu chma cha ushirika,pia pana ma restaurant ya maana supu SAA 24
mfano kwa mwarabu,shia bar nk
piga picha full sio upoge kijieneo
mamsera ndio mwanzo wa rombo,imepita barabAra ya lami kwenda dar
Apa Wapi mkuu kumbe stand ashaanza kujenga?Wengi wanaitharau bk kwa sababu ushabiki na chuki tu ila bukoba inaizidi songa mbele hii ni bikaijampola hotel imefunguliwa juzijuzi
Sawa mkuu!!Mkuu uwe na Adabu basi usiifananishe Same na vitu vya kipuuzi
At least Asee kale kastand ndo chanzo cha vumbi mjini pia halmashauri inashindwa kujenga b arabara za viwango mtaani wanamwaga tumoramu afu vibarabara vidogo kama voliongolelo wanatuangusha sanaKemondo moja hiyo .stendi walishaanza kujenga hizo ni picha za tarehe 1 disemba sasa walishafika mbalisa hivi walishafika mbali sijaendako siku nyingi
Mbege imekulewesha weweKwa mlingano wachaga wako vizur sana kwan wao ndio wajenz wa miji mingi zaid tz kwa sasa kwani hawa hata kwao hawapo wamesambaa nchi nzima wakisaka hela hivyo hata bk kiasi flan imejengwa na wachaga aoao so waheshimuni sana hawa watu
Huu uzi kaanzisha nani? si mtu wa Bukoba huyu? pia nenda ka search nyuzi za Mwanza vs Arusha utaona ni watu hao hao wa Mwanza...Watu wa Moshi tuponde na kujivuna mkoa gani kwa lipi na wakati tupo kila mkoa?Acha kuvuta wewe. Mtu gani wa Bukoba alinganishe Bukoba au Mwanza (Kanda ya ziwa) na huo uchafu wenu wa kaskazini?? Ni kujishusha kabisa maana sisi tunajua tupo level tofauti kabisa. Angalieni nyuzi nyingi mnaanzisha nyie na mnagalagazwa. Mkome