instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,540
- 19,485
- Thread starter
- #1,281
Sababu yenu huwa ile ile stendi tu hata yenyewe inajengwa nyingine kyakairabwa km 7 kutoka mjini tazama ujenzi wake ulipokuwa umefikia wiki iyopitan kichaa pekee anaweza fananisha mji msafi kuliko yote tz yaan moshi na ka mji kalikodumaa bukoba ambKo hata stand tu ya mabasi n vumbi
mzunguko wa hela moshi b Mara 500 ya bukba
moshi INA biashara nyingi mno
makampun makbw yapo moshi
bukoba tetemko liliwaumbua vijumba vya ajabu mjin