The Great Haya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 1,799
- 1,681
Povu lakutoka ukaamua kuhama topic baada ya kuzidiwaIstanbul kuna sehemu Dar inaitwa kwa Wahaya mwananyamala unakuta vibatari na ukifika tu mwanaume unachoma ndani kuhudumiwa ila sijaona kwa wachaga hivi!! Kwa wachagga Kimara na Mbezi ni full ufugaji wa kuku na biashara za kawaida
Unazidisha chumviKumbe mji wa Bukoba haulingani hata na (mji) kata ya Makambako,miji ya Njombe,Makete na Ludewa.
Wahaya na sifa zote kumbe hakuna kitu.
Halafu we jamaa Mkubwa halafu kichwani zero kbsaNa wewe weka za tabora na mbeya
Hilo jengo lipo Moshi acheni ubishi wa kijinga.Na Mwanza nako ni Moshi!!!?
Nyumba za Moshi zipo migombaniBukoba tenabugabo house rwabizi plaza kaitaba stadium bukoba miembeni buyekera bukoba nyakanyasi mkoani kilimahewa
Nanyie jengeni mlima kilibukoba kama rahisiSoma hapo juu pato la moshi linakuzwa na mlima kilimanjaro vinginevyo moshi ni hoi
Mashindano ya kujikweza facts hamnaKuna picha zingine za Bukoba zaidi ya hizo!
Jamaa wa Moshi hawana haja ya kuleta picha,kwa maana Moshi ni zaidi ya Bukoba kwa mbali.
Kati ya mie na wewe nani anabisha kijinga!!!Hilo jengo lipo Moshi acheni ubishi wa kijinga.
huu ndio Unazi unaowamaliza nyie na akili zenu za kutu!! yaani ww hujaelewa maada mpaka utaje ukanda. mtu kafananisha mkuu hajataja ukanda unaibuka na ukabira ww utakuwa ndezi kweli kweli!!Siku hizi ukitaka umaarufu Jf lazima ufananishe Kaskazini(Moshi au Arusha) na vijikitu vya ajabu ajabu.
Embu pambaneni na vimji vyenu bhana.
Waambie mkuu hawa jamaa sijui hata kwao hawapajui??? Hii ni aibu ya mwakaKati ya mie na wewe nani anabisha kijinga!!!
Angalia hapo picha ya pili ilio postiwa hapo
Kisha njoo uone hapa
Hii ni barabara ya mzunguko pale kwenye jengo la ccm
Ofisi za passion Fm
Mwanza,
Kutoka Airpot au nyamagana
Kwenda Kenyatta road
Kupandisha Nyerere Road
Unashuka kwenda Police .
Ninabisha kapost picha ya mwanza kuwa ni moshi
Maana naelewa miji yote ya Tz vyema.
kwan mkuu Moshi na Morogoro wapi ni pakubwa??Jamani ebu msikinganishe moshi na bukoba ata kidogo.Moshi ni level nyingine papo juu sana.Kabla ujajilinganisha na moshi ebu angalia kama umeweza kuifikia morogoro,Dodoma,iringa,kahama etc kwanza.
Picha zenye tarehe sio Moshi. Pia hayo mageti na camp za kupandia mlima sio MoshiMOSHI
Thts part of moshi...hahahaaa...kumbe moshi tuifananishe na mwanza eeh...faggots!Hahahaaa naona picha za Iringa na mwanza WEWE unasema katikati ya mosho
Himo sio MoshiHIZI NI TASWIRA CHACHE ZA MOSHI
Niliwai kufika bukoba pia moshi nisawa na kulinganisha manzese na posta moshi pazuri licha ya Uzuri wake pia ni moja mji msafi sana bukoba pachafu baathi ya sehemu lami hamna kiukweli bado sana izo picha zimepigwa kwajuu tu ila chini hatari
Picha ya kanisa sio Moshi. Ni kibosho hukoMOSHI MOJA HIYO...
ILA BAADHI YA WATU WENGI WA MOSHI HAWANA TABIA YA KUPIGA PICHA MAKWAO SABABU YA KUONA KAMA NI KITU CHA KAWAIDA..
ILA KWA KWELI MIJINI SI KUZURI KAMA VIJIJINI...KUMEJENGWA KUKAJENGEKA HASA...
KWA UTUNZAJI WA BUSTANI ZA MAUA NDIO WENYEWE
KWA USAFI NDIO WENYEWE...
HATA KAMA NYUMBA NI YA UDONGO ILA UTAKUTA MAUA YALIYOPANDWA HADI YANAPENDEZESHA NYUMBA NA UA ULIVYOFAGILIWA UTAPENDA...