Buguruni: Profesa Lipumba anaongea na Wanachama wa CUF muda huu

Buguruni: Profesa Lipumba anaongea na Wanachama wa CUF muda huu

Wapenda mabadiliko wengi ni vijana na kwa picha ninayoiona hapo wengi wa hao waliohudhuria ni watu wenye umri wa juu ya ujana.Nadhani suala la Lee Pumba kupata Support kubwa kama anavyotaraji ni ndoto kwa sababu hata hao waliopo hapo wapo ambao ni Double Standard na ambao hawakuhudhuria wengi ni wale wasiokuwa upande wake kabisa.
 
Wapenda mabadiliko wengi ni vijana na kwa picha ninayoiona hapo wengi wa hao waliohudhuria ni watu wenye umri wa juu ya ujana.Nadhani suala la Lee Pumba kupata Support kubwa kama anavyotaraji ni ndoto kwa sababu hata hao waliopo hapo wapo ambao ni Double Standard na ambao hawakuhudhuria wengi ni wale wasiokuwa upande wake kabisa.
Vijana wa siku hizi wana akili sana aiseee, sio wa kucheza nao hata kidogo
 
Wapenda mabadiliko wengi ni vijana na kwa picha ninayoiona hapo wengi wa hao waliohudhuria ni watu wenye umri wa juu ya ujana.Nadhani suala la Lee Pumba kupata Support kubwa kama anavyotaraji ni ndoto kwa sababu hata hao waliopo hapo wapo ambao ni Double Standard na ambao hawakuhudhuria wengi ni wale wasiokuwa upande wake kabisa.
Wengi waliohudhuria hapo ni ile jamii ya watu waliokaririshwa kuwa Pro Lipumba ni msomi kuliko wasomi wote Tanzania.Ni mashabiki wa Lipumba na si wataka mabadiliko...Nawasilisha.
 
Siasa za Tanzania ni pasua kichwa. Kwa hiyo watu wako kabisa attentively wanamsikiliza

Iyo mijitu sijui kama ina akili timamu,,yaan jitu liliwakimbia katika uwanja wa vita,eti leo linarudi tena kutaka kuungana nanyi,,,kweli nimeamni ule utafiti kuwa baadhi ya watz uwezo wa kufikiri ni 1%,,,,tena aswa baadhi ya wenzetu katika imani,,,wanamuona huyo wanaemshabikia kama njia yakwendea Peponi labda,,,,hii CYBERCRIME imetunyima uhuru wakutukana aisee,,bora America waishikie kidedea hii cybercrime ifutwe, ili tuanze kuporomosha mitusi kwa wasaliti kama hawa😎🙁
 
Mbona kwenye hivi vikao vyenye makundi mawili yanayopingana vikali hatuoni pooisi wakivizuia kwa hofu ya kuvunjika kwa amani? Sehemu zenye dalili zavwazi za kuvunja amani polisi hawasemi neno, pale hakuna hata punje ya kiashiria cha uvunjifu ws amani utasikia ' taarifa za kiinteligensia!
 
Huu Mkuu ndiyo ule uhuni tunaousema. Mkutano kama huu ungefanya na CHADEMA tungeiona mihemuko ya polisiccm.
Hapo mabomu na virungu vingetembea sana
Ila hawaoni hili ni tatizo inakuwaje police hao hao wanasema hakuna kufanya mikutano ya nje na chama kimoja kinafanya mkutano wake bila kuzuiwa na inawezekana na ulinzi wa police hao hao
 
Back
Top Bottom