Heshima yako mkuuNa mimi nashangaa kama wewe Mkuu. Heshima yako Mkuu.
Wengi hao ni wajumbe wa CCM, hamna lolote hapo.Hicho chama kina wanachama wangapi na kila mtu akiwa anaitisha kuongea na wanachama wake itakuwaje. Halafu Buguruni ni kitovu cha wanachama wa CUF. Hata Mrema leo hii akiitisha mkutano wa wanachama wa TLP bila shaka inawezekana wakawa wengi zaidi ya hao.
HIYO NI PRESS CONFERENCE INA RUHUSIWAJe, huu ni 'mkutano wa ndani'!??? ...mbona haguswi na wanausalama!?
unaboa bana kila thread unachangia!!!!. nyie ndio mnaifanya jf idharaulike.Hicho chama kina wanachama wangapi na kila mtu akiwa anaitisha kuongea na wanachama wake itakuwaje. Halafu Buguruni ni kitovu cha wanachama wa CUF. Hata Mrema leo hii akiitisha mkutano wa wanachama wa TLP bila shaka inawezekana wakawa wengi zaidi ya hao.
Halafu nashangaa walisema wameruhusu vikao vya ndani sasa mbona hawa wapo nje? Kwanini hawasambaratishwi kwa mabomu na maji ya kuwashawasha?hivi hao jamaa wote hapo hawana ajira!!
Tusitembee na wabaya wetu mifukoni. Wakati wote ni kuropoka tuuu. Jenga hoja.Chadema hali mbaya
Wamevalishwa hao na kushikishwa kitu hahaha chezea chama kileeeeeeeeDah huyu jamaa anakubalika,na Mtatiro naye aitishe Mkutano tuone wafuasi wa CUF wanaomuunga mkono.
Katumwa huyu. We subiri muendelezo wake, utashangaaUwenyekiti mtamu mzee wa tabora hataki kuuacha kabisa .
No wonder wale jamaa walio juu ya Sheria waka allow mikutano ya Ndani.OFISI kuu CUF Buguruni Muda huu press ya Profesa Lipumba na wana CUF.Wakati huo huo kuna Mkutano wa Baraza kuu wa Chama wa CUF unaendelea Zanziabr.
View attachment 407683 View attachment 407684 View attachment 407685
Hizi picha ni za Wananchama wa CUF wakisubiri Prof. Lipumba aje Kuongea nao. Hapa ni Buguruni Dar es Salaam.
Swali mtambuka!Huo ni Mkutano wa ndani??