Buguruni: Profesa Lipumba anaongea na Wanachama wa CUF muda huu

Buguruni: Profesa Lipumba anaongea na Wanachama wa CUF muda huu

Itv wamasemaga mwenyekiti anaetambuliwa na msajili
 
Aiseeee. Nilisema wakati wanaunda Ukawa kuwa CUF ni CCM B hivyo haitakaa iwe mpinzani wa kweli. Nikasema ndoa iyavunjika.
 
Mnauhakika gani kama hao ni wote ni wafuasi wa cuf? Mimi namini kwenye msafara wa mamba na kenge pia wapo lipumba anatumika
 
Back
Top Bottom