Buguruni: Profesa Lipumba anaongea na Wanachama wa CUF muda huu

Buguruni: Profesa Lipumba anaongea na Wanachama wa CUF muda huu

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,643
Reaction score
62,563
OFISI kuu CUF Buguruni Muda huu press ya Profesa Lipumba na wana CUF.Wakati huo huo kuna Mkutano wa Baraza kuu wa Chama wa CUF unaendelea hivi sasa Vuga,Unguja Zanziabr.
14446233_1190747754317479_7609541107573592000_n.jpg
14457297_1190747617650826_1308002445883831339_n.jpg
14469520_1190747530984168_3231605769256196816_n.jpg

Hizi picha ni za Wananchama wa CUF wakisubiri Prof. Lipumba aje Kuongea nao. Hapa ni Buguruni Dar es Salaam.
 
CUF inapitia kwenye mtanziko mkubwa sana wa kisiasa toka chama hicho kisajiliwe.Inahitaji umakini wa hali ya juu kutatua na huyo Lipumba afukuzwe uanachama kabisa maana chama si mali yake na uenyekiti si mali yake.Ni prof.gani huyo anayetumika kihivyo?
 
Back
Top Bottom