Buguruni: Profesa Lipumba anaongea na Wanachama wa CUF muda huu

Buguruni: Profesa Lipumba anaongea na Wanachama wa CUF muda huu

Mbona mboye hamjamtoa? Uenyekiti wake una miongo kadhaa.
Kwani mbowe amejiuzuru na msajili akamwandia memo ya kurudi...na asikari wakamuongoza kuvunja gate...?? Akili zako kama za juma pumba marijani
 
Kyumbeee. Ndio maana Polisi walisitisha zuio la mikutano ya ndani ili kumpa fursa Lipumba afanye yake
 
Kwani mbowe amejiuzuru na msajili akamwandia memo ya kurudi...na asikari wakamuongoza kuvunja gate...?? Akili zako kama za juma pumba marijani
Mnavyotii namna hii wanaowatuma wenzenu wanawatukania vikojole vya mnaowaheshimu sana.
 
Mambo kama haya yanaweza kutokea Tanzania tu. Huu ''mkutano wa ndani'' umekuja wakati mzuri sana. What a coincidence!
 
Siasa za Tanzania ni pasua kichwa. Kwa hiyo watu wako kabisa attentively wanamsikiliza
Mbona wewe hua unamsikiliza DJ pamoja na kutambua kua ni mpiga deal lakini umetia pamba masikioni na kumwona kama malaika asiejua kukosea bali yuko sawa kwa kila analolisema?
 
Back
Top Bottom