Buguruni: Profesa Lipumba anaongea na Wanachama wa CUF muda huu

Buguruni: Profesa Lipumba anaongea na Wanachama wa CUF muda huu

Naona Polisi walijua mapema kabisa hili linatokea ndio maana wakafuta ile oda yao mfu ya kutokuwa na mikutano ya ndani kwa vyama vya siasa
 
Lijinga sana hili jamaa alafu miaka yote ni yeye mwenyekiti hamna mtu mwingine kweli cuf mwenye uwezo? Hakuna mawazo mapya mambo yatakua yale yale, ndio maana watu wengi hawapigii kura upinzani kwenye uchaguzi sababu ya upinzani wenyewe kukosa demokrasia ya kubadilisha badilisha viongozi wao. Wajifunze kubadilika
Mbowe Mwenyekiti wa MAISHA pale CDM
 
Acha kua na akili mgando wewe! Yaani kila aliyetofauti na mawazo ya Mbowe anatumika!!
Mbowe alitumwa nani kumteua Lowassa kua mgombea Urais??
Kwahiyo huyo unayemtetea mbona ana mawazo mgando kuwa uenyekiti ni wake tu hadi anakufa.
 
CUF inapitia kwenye mtanziko mkubwa sana wa kisiasa toka chama hicho kisajiliwe.Inahitaji umakini wa hali ya juu kutatua na huyo Lipumba afukuzwe uanachama kabisa maana chama si mali yake na uenyekiti si mali yake.Ni prof.gani huyo anayetumika kihivyo?
nani atamfukuza uanachama wakati robo tatu ya viongozi wanamuunga mkono
 
Kutoka maktaba
2016%2B-%2B1
 
Lipumba Maalim Seif sijaona mwenye afadhali,wote wana uchu na madaraka tu
Afadhali yule mmoja anatunza utu wake. Huyu alijitoa, leo bila haya anarudi kwa kutumwa. Ana bahati kwao Tabora uswahili unaruhusiwa, mambo hayo asifanyie Mara...atanyonyolewa yungali macho
 
Acha kua na akili mgando wewe! Yaani kila aliyetofauti na mawazo ya Mbowe anatumika!!
Mbowe alitumwa nani kumteua Lowassa kua mgombea Urais??
Magufuli atapatishwa taabu sana anadhani kaweza atashangaa na jua kumzamia
 
Back
Top Bottom